NEW SONG - P SQUARE FEAT RICK ROSS....CHECK IT OUT I LUV IT IT IT !

MWANAMUZIKI DUDU BAYA AELEZEA SABABU ZA KUMPIGA MTANGAZAJI WA KISS FM !!


Wiki iliyopita tuliandika habari kuhusu rapper Dudu Baya kumpiga mtangazaji wa kituo cha radio cha Kiss FM, Ezden Jumanne aka The Rocker baada ya kumnyima show.
Jana Clouds Fm kupitia kipindi cha XXL wamemhoji msanii huyo ambaye amesema sababu za kumpiga mtangazaji huyo ni kuwa alipofika Mwanza kwa mara ya kwanza aliitisha kikao cha wasanii wote wa jiji hilo ili kupanga mikakati ya kukuza muziki.
Kutokana na kikao hicho, Dudu anasema walianzisha chama walichokipa jina la ‘Mwanza Kwanza.’
Anasema miezi kama mitatu iliyopita alifariki rapper wa Mwanza aliyekuwa anaitwa Mo Chella kwa kuchomwa na kisu na ndipo Ezden aliandaa show ya kuchangisha fedha za kuisaidia familia ya marehemu bila kumshirikisha Dudu Baya.
Kutokana na kitendo hicho uhusiano kati yake na Ezden uliingia kasoro kiasi cha kutozungumza vizuri kila wanapokutana na ndio maana hivi karibuni alifikia hatua ya kumpiga.
Hata hivyo Bongo5 imefuatilia habari hii na kubaini kuwa chama hiki cha Mwanza Kwanza kilianzishwa miaka minne iliyopita hata kabla ya Dudu Baya kuhamia Mwanza.
Mwanza Kwanza iliyoanza kama familia ya hip hop ilianzishwa na msanii aitwaye Athuman Mohamed aka Flexible mwaka 2008 ikiwa na wasanii watano ambao ni Star J, Sam, Goba, Dachi na yeye mwenyewe.
“Kuna watu walipoona mafanikio yameanza kuja na familia inakuwa kubwa na kujulikana wakaanza kuingilia na mwisho wa siku wanasema ni ya kwao na wao ndio walioianzisha. Watu hao ni Kabago na wafuasi wake na Dudu Baya na watu wake mpaka wanaleta mgawanyiko cause hawajui mwanzo na malengo yetu ya kuunda hiyo familia,” anasema Flexible.
“Wanagombana wakati hakuna hata mmoja anayehusika na wahusika ni sisi wana Mwanza Kwanza.”
Flexible ameendelea kusema, “ Dudu ndio msanii aliyefeli kuzidi underground wote wa Mwanza na ndio anajaribu kurudi lakini hata studio anazofanyia ni local sana. Anapiga show za vijijini na wanasema hata huko hajazi, inshort amefulia sana.”

                            HABARI  HII NA MWANDISHI KUTOKA BONGO 5

VIDEO YA MWANAMUZIKI AY - PARTY ZONE KUTOKA THIS WEEK !!!


Rapper mwenye mafanikio makubwa nchini Tanzania, Ambwene Yesaya amesema video yake mpya inatoka wiki hii.
Video hiyo ambayo ilifanyika mwishoni mwa mwezi uliopita mjini Johannesburg Afrika Kusini imefanywa na kampuni ya God Father Productions inayomilikiwa na mnaijeria Mike Ogeke.
Kupitia Twitter jana AY amesema, “This week m goin to release my nu video “Party Zone” feat @Marcochali ..Film Standard broda,filmed by @I_Am_Godfather RT @ChrisIncc: @AyTanzania Yessır! Eyes on the prıze…”
Video ya wimbo huo uitwao ‘Party Zone’ uliotengenezwa na Marco Chali wa MJ Records itaingia kwenye orodha ya video zenye gharama zaidi kuwahi kufanywa na msanii wa Tanzania.
Kiasi cha dola 20,000 kimemtoka AY ambacho ni zaidi ya shilingi milioni 30 za Tanzania huku gharama hiyo ikiwa ya video peke yake.
Ukijumlisha nauli ya AY na Marco Chali ya kwenda Afrika Kusini na kurudi, malazi na mambo mengine gharama inakuwa kubwa zaidi.
Kampuni hiyo inasifika kwa video ilizowahi kuwafanyia P-Square, Flavor na wasanii wengine wakubwa wa Nigeria na Afrika Kusini.....BIG UP TO AY

KHADIJA KOPA AMSHUSHUA MWIZI ALIYEMWIBIA GARI LAKE KWA KUMTUNGIA WIMBO



Malkia wa mipasho nchini Khadija Kopa ameamua kuzielekeza hasira na uchungu wa kuibiwa gari lake kwa kutunga wimbo kumshushua mwizi wa gari hilo.
Wimbo huo uitwao ‘Mjini Chuo Kikuu’ mwanzo mwisho umeandikwa kumponda kibaka huyo aliyemharibia mipango yake ya kifedha kwa kumlazimisha kufikiria kununua gari jingine.
Gari la Khadija Kopa lenye thamani ya shilingi milioni 15 liliibiwa mwezi uliopita.
Jumla ya magari manne yaliibiwa likiwemo gari la msanii wa kizazi kipya Nyandu Tozi maarufu zamani kwa jina la Dogo Hamidu aina ya Vits ya silver ya 2002 T698 BUH.
Magari hayo yaliibiwa siku moja mahali yalipokuwa yameegeshwa karibu na shule ya Mwananyamala B.
Kwa mujibu wa tovuti ya Milard Ayo, mpaka sasa magari yote hayajapatikana ambapo magari manne yaliyoibwa kati ya 18 yaliyokuepo kwenye eneo hilo.

SEX TAPE OF KIMORA LEE SIMONS HUSBAND DJIMON WITH KOLA BOOF IS ON THE WAY


                                         601251_3901112802442_1935111029_nn
                                                        KOLA BOOF/OSAMA'S -X GIRLFRIEND
Ain’t no stopping Kola, Kola Boof sheds a little more light on the reason she went to the press about breaking up Kimora Lee Simmons andDjimon Hounsou‘s marriage…
According to Kola Marriott Hotel workers are threatening to release video of her and Dijmon together.
Apparently that triggered a press release, that I have not been able to locate, that Kola claims Kimora released mentioning her name. That’s when all hell broke loose.





USIKU WA DAR-NA ZANZIBAR AT NEW MAISHA CLUB !!


 Kwa steji ni Sultani KING kutoka Zanzibar, huu ulikuwa usiku wa ZNZ na Dar ambapo walishushwa wasanii wakubwa nikimaanisha kiumri yaani ma bibi zetu mmoja kutoka Zanzibar namzungumzia Bibi Kidude na kutoka Dar alikuwa Bibi Cheka, walisindikizwa na wasanii wadogo na show ilikuwa hot...endelea kutizama picha

 Kwa steji ni Mabeste

 kwa steji Bi Kidude akiingia tayari kwa show



 Bibi Cheka kwa steji na Mh Temba


 Makomandoo kwa steji


 Cyrill na Wakacha kwa steji

 Nyandu tozi kwa steji

 Young D


PICHA KWA HISANI YA DJ CHOKA 

DJ FETTY AIWAKIRISHA TANZANIA VYEMA KWENYE BIG BROTHER AFRICA..NA KUKUBALIKA



JUZI Dj Fetty wa Tanzania ameithibitishia Afrika kuwa muziki anaujua, baada ya kuangusha ngoma za ukweli kwenye live show ya Big Brother.
Akiwa Dj wa kwanza kutoka Afrika Mashariki kuwahi kupata heshima hiyo ya kuburudisha mamilioni ya watazamaji wa ukumbuni kwenye nyumba ya Big Brother pamoja na wale wanaoangalia kupitia TV, Fetty aliyekuwa anajiamini vya kutosha amepokea pongezi kutoka kwa wapenzi wa BBA barani kote.
Katika ukurasa rasmi wa Big Brother Afrika jana kumewekwa status iliyosema, “Our first lady DJ on the Big Brother stage…and she is trailblazing!” na kufuatiwa na comments nyingi za kumsifia kwa kazi nzuri:
Hongera sana Dada yetu kwa kutuwakirisha vyema..Ingawa mwakirishi wetu alitolewa wa kwanza kwenye BBA...I am a big fan of yours by the way Miss DJ!
.

BOXER-EVANDER HOLYFIELD LOST HIS GEORGIA MANSION..HE IS BROKE MAN SO SAD AFTER ALL THE MONEY!!


Evander Holyfield has been rumored to have just lost his legendary Georgia mansion which was recently auctioned off on the court house steps  When it rains it pours for Evander Holyfield. Just last week there were rumors Evander was facing jail time for back child support and now we hear the poor guy just lost his house.
Casa de Holyfield first went into foreclosure back in 2008 but Evander was able to hold it together until now.
The 54,000 sq manse sitting on 234 acres sold at auction for $7.5 million. Before going into foreclosure Evander still owed $14 million on the mortgage and $200,000 in property taxes.

OSAMA BIN LADEN'S EX-GIRLFRIEND SAYS SHE IS THE REASON KIMORA LEE AND HER HUSBAND SPLITS !!


Kola Boof has been telling us for months that she was sleeping with Kimora Lee Simmons‘ husband Dijmon Hounsou, and now Kola admits that she is the reason Kimora and Dijmon broke up…
Kola tells The New York Daily News 
“I am the reason that they broke up.”
“I have slept with Djimon Hounsou throughout his marriage to Kimora Lee Simmons. I don’t think it’s a secret to people in Los Angeles.”
“I am not in love with Djimon Hounsou & he is not in love with me. The only reason I had sex with him was to get revenge on Kimora.”
“Kimora nearly destroyed my life and my children’s lives. She is a lecherous, two-faced, money-obsessed witch and a delusional snob.”

RIHANNA & CHRIS BROWN....AGAIN IN THE CLUB TOGETHER!


They-re-back-together-2012-chris-brown-and-rihanna-29649299-575-437
Here we go again with  these two fun loving and in my opinion very talented singers.  Just last week Chris Brown and Rihanna were in the club staring daggers at each other [click here if you missed that] but this week it’s all smiles and sending over bottles of champagne…
From Page Six 
Ex-lovers Rihanna and Chris Brown partied next to each other at Manhattan hot spot SL on Saturday — sparking further rumors of a reconciliation.
Despite the best efforts of her record label to keep them apart, Rihanna and Brown partied with their respective entourages — and exchanged many glances but few words — at the Meatpacking club until yesterday’s early hours.A spy said, “After Chris made his way into SL with a group of friends, Rihanna pulled up with her own group of friends. The infamous exes sat far enough from each other to not be able to talk, but close enough to keep an eye on one another. Chris sent Rihanna two bottles of Ace of Spades Champagne. DJ Sinatra had both Rihanna and Chris dancing at their tables.

IS P.DIDDY AND CASSIE OFFICIALLY MARRIED?


These days if two people post the same picture of each other on Instagram it means they go together, so by today’s standards Cassie is finally Diddy‘s official girl…
Last night Cassie Instgramed this photo of her and Diddy in Cannes with the caption ‘whisked off my feet’ and Diddy promptly retweeted it to his 5 million followers.Twice.
So it either means their engaged or already married.....Kama hii ni kweli basi namimi ntaoa soon!!