MAELFU YA WATU WAMEANZA SASA KUUAGA MWILI WA MAREHEMU KIPENZI CHA WENGI NGWAIR!!!!!






                  DIAMOND AKIPITA KUTOA HESHIMA ZAKE ZA MWISHO

MISS TANZANIA HAKUNA RUSHWA YA NGONO-LUNDENGA ASEMA


MKURUGENZI wa Kampuni ya Lino International Agency, waandaaji wa mashindano ya Miss Tanzania, Hashim Lundenga, leo Jumanne jioni alitembelea kambi ya washiriki wanaojiandaa kushiriki katika shindano la Miss Sinza na kusisitiza hakuna rushwa ya ngono katika mashindano yao.* * * *Lundenga aliongozana na ujumbe wake, ambao ni Bosko Majaliwa, Katibu wa Kamati ya Miss Tanzania, Albert Makoye Mkuu wa Itifaki na Nidhamu wa kamati hiyo, Hidan Rico, Afisa wa Habari wa kamati hiyo, Yasson Mashaka, Mkuu wa Mipango wa Kamati hiyo na Lucas Luta, ambaye ni mjumbe

MZEE WA RUKSA-KUWA MGENI RASMI SHEREHE YA MIAKA MITATU YA VIJIMAMBO/TAMASHA LA UTAMADUNI WA KISWAHILI MAREKANI!!


Blog ya Vijimambo ikishirikiana na Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini, Washington, DC, Marekani na Jumuiya ya Watanzania waishio Washington DC, Maryland na Virginia wanapanga kusheherekea miaka 3 ya Vijimambo na kukuletea tamasha ni kuendeleza lugha na utamaduni wa Kiswahili hapa Marekani ili watoto wanaoishi huku waweze kuendeleza matumizi ya lugha hii na utamaduni wake kizazi hadi kizazi. 

Siku ya July 6, 2013  hapa DMV kwenye Hall la Hampton Conference Center lililopo 
207 w Hampton Pl, 
Capitol Height, MD

Mambo mengi yatakuwepo, Vikundi mbalimbali vya utamaduni, Asya Idarous mwanamitindo ya mavazi kutoka Tanzania akishirikiana na hapa Marekani, vyakula vya Kitanzania, Wasanii kutoka nyumbani na hapa Marekani yote ni kudumisha utamaduni wetu wa kiswahili

TEGA SIKIO, HABARI ZAIDI ZITAFUATA
-------------------------------------------------------
kwa wajasiliamali ambao wangepenga kudhamini na kuijipatia meza ya kutangaza bidhaa au shughuli wazifanyazo tafadhali wasiliana 301 613 5165, 301 661 6696 na 301 792 8562 mwisho ni June 15, 2013 Asante
HABARI HII KWA HISANI YA VIJIMAMBO BLOG!!

VIWANJA VYA LEADERS VINAVYOONEKANA VIKIWA TAYARI KWA AJILI YA KUUAGA MWILI WA MANGWAIR !!




Leaders Club kila kitu kinakwenda sawa kabisa na kama mnavyoona steji imekamilika na kupambwa vizuri ili watanzania waishio Dar es Salaam wapate nafasi yakutoa heshima zao za mwisho kwa ndugu yetu Albert Mangweha na baada ya kuuaga basi safari yakuelekea Morogoro itaanza.
HABARI HIZI KUTOKA KWA MSEMAJI WA KAMATI "DJ CHOKA"

JAY Z AND SKYLER.......IS BEYONCE WATCHING THIS ????????????

Jay-Z and Skylar Diggins Attend Welcome Reception For Skylar Diggins Hosted By Roc Nations Sports at 40 / 40 Club -- PEOPLE ARE TALKING ABOUT THIS CLOSE RELATIONSHIP,IS THERE4 SOMETHING IN IT OR STRICTLY BUSINESS? BY THE WAY SHE IS HOOOOT!
                
                
                
                



BEYONCE AND JAY Z SPOTTED IN NEW YORK CITY OUT FOR A MOVIE DATE...UTAWAPENDAJE?

   Jay-Z And Beyonce On a Movie Date To Watch 'Iron Man 3' In Battery Park In New York.