JUSTIN BIEBER AND SELENA GOMEZ- BREAK UP AGAIN AFTER GETTING BACK FOR ONE DAY !


1117-justin-bieber-gomez-x17
Just hours after the two had a nuclear fight, Justin Bieber's white Ferrari was seen pulling out of Selena Gomez's home early Saturday morning. 

As DMK first reported, the on-again/off-again couple went out to dinner Friday night, but left after just 10 minutes. The two then drove separately back to Selena's place (Justin was a few minutes behind) but  SELENA DENIED HIM AT THE GATE

The way things are going, these two will break up and get back together a few more times before the weekend is out.

AY WINS 'MOST GIFTED AFRICAN EAST VIDEO' @ THE CHANNEL O MUSIC VIDEO AWARDS 2012...!!!

                 

AY ndio msanii pekee kutoka TANZANIA (East Africa) aliyenyakuwa tuzo ya Channel O Music Video Award kwa mwaka huu 2012 katika kipengele cha MOST GIFTED AFRICAN EAST VIDEO OF THE YEAR. Video iliyochukuwa tuzo hiyo ni I DON'T WANT TO BE ALONE akiwa amewashirikisha wasanii kutoka Nairobi Kenya wanakwenda kwa jina la Sauti Sol. HONGERA SANA AY KWA KUMEIPEPERUSHA BENDERA YA BONGO FLEVA...Pia Pongezi kwa CPwaa Mtanzania Mwingine aliyekuwa nominated kwenye awards hizo.!!!

                                                           VIDEO ILIYO WIN HII HAPA