MHE. WAZIRI SAMUEL SITTA KUUNGURUMA MKUTANO WA KUJADILI KATIBA -MASWALI YOTE KUJIBIWA LIVE -WOTE MNAKARIBISHWA WASHINGTON DC -JUMAPILI FEB 22


YAMOTO BAND WATEMBELEA ZURII HOUSE OF BEAUTY NA KUKABIDHIWA TICKET ZAO TAYARI KWA SAFARI YA KUELEKEA LONDON!

 Kutoka kushoto Enock, Maromboso, Beka na Aslay wakiwa wameshikilia ticket zao za ndege  ambazo walikabidhiwa rasmi na mkurugenzi wa Zurii house of Beauty Jestina George Meru.
Yamoto Band wanatarijiwa kufanya Live show kwenye jiji London siku ya tarehe 21.02.2015 katika ukumbi wa Royal Regency Banguet Hall 
 Zuri House of Beauty CEO Jestina George Meru akiwa kwenye picha ya pamoja na timu nzima ya Yamoto Band 
Kama kawaida Ukitembelea Zurii House of Beauty huondoki mkono mtupu
UK na Europe yote Siku ya Jumamosi tarehe 21 Feb 2015 tukutane pale kwenye ukumbi wa Royal Regency Manor Park London Kwani Hiyo ndio sehemu pekee kwenye jiji la London utapopata Burudani ya kukata na shoka kutoka kwa No1 band ya Tanzania Hakuna wengine ni wale wale vijana wetu wanne machachari wanaoitikisha East Africa sasa hivi YAMOTO BAND aka MKUBWA na WANAWE. Tickets are on sale now Standard ticket £25, VIP £35 kama unahitaji Meza ya watu 10 basi wasiliana nasi  kwenye number hizi  07853482158 @bongodeejays or whatsapp +447557304940 
Also if you are in

Northampton,you can get your tickets 

Kass's Grill 01604621567/07527283219 
And for people in Milton Keynes you can Get your tickets by 

Calling  Cobby ...07448416240 London Chris Chagula 07405889880 /Hakim 07931 526622

VjOj on 07940 679201and Exposed Uganda on  07931 119346