SINGER-SHETTA KUZINDUA WIMBO WAKE MPYA "BONGE LA BWANA FT LINAH " TAREHE 25 NOV !!

                          
Bonge La Bwana ni wimbo wa Rapper Shetta uliotangazwa kutoka mwisho wa mwaka huu na kwasasa ipo tayari baada ya mabadiliko kufanyika. Awali Shetta alitangaza kufanya wimbo huu na komando Lady J Dee ila baada ya mabadiliko aliwekwa Linah . Shetta ameongea na DMK411 na kusema baada ya Lady J Dee kuskia beat na idea ya wimbo huu alimshauri afanye na msaani anaye endana nae kiumri zaidi ili ata akimwimbia Bonge la Bwana ieleweke zaidi, Fahamu kuwa Lady J Dee na Shetta bado watafanya wimbo mwingine ila sio huu. Baada ya kushauriwa hivyo Shetta aliona atakaye fanya vizuri kwenye Bonge la Bwana ni msanii Linah kutoka THT Na ndio amewekwa kwenye Wimbo huu kwa sasa. Kuhusu Video ,Tayari Adam wa Visual Lab anayo na anauskiliza kwahiyo muda wowote itaanza kufanyiwa kazi. Imesha thibitishwa kuwa Bonge La Bwana ni Shetta Ft Linah.

Kuhusu uzinduzi wa wimbo huu Shetta ameiambia DMK411 kuwa uzinduzi utafanyika maisha club Terehe 25 November na atasindikizwa na wasanii kama Jafarah ,Stereo, Shilole , Linah , Young Dee , Feruuz ,Suma Mnazareti na Pasha.

SWIZZ BEATZ..SAYS NO MORE TAX PROBLEM..HE PAID IT OFF !!

                          
Swizz has shown TMZ documents that prove he had previously made payments in the full amount owed for his 2010 tax return. A rep for Swizz tells TMZ he has paid his taxes in full and is current on his taxes.
"You ain't getting none from me or my bank" ... Swizz Beatz rapped it and now he's living it  -- this according to the State of New York who says the mega-hip hop producer is behind on his taxes.

The Empire State recently filed the lien against Beatz -- real name Kasseem Dean -- for unpaid taxes in the year 2010 ... claiming he still owes a cool $98,246.18. 

But that's not all ... Beatz -- who is married to Alicia Keys and has produced for every major name in the biz, including Chris Brown, Dr. DreDMX, and Kanye West -- also has federal tax liens filed against him ... to the tune of $2.6 MILLION. 

JUSTINE TIMBERLAKE AND WIFE..BACK IN NY FROM TANZANIA FOR (HONEY MOON)

                112_justin_jessica_PCN
A day after helping out with Hurricane Sandy relief efforts in the Rockaways, newlyweds Jessica Biel and Justin Timberlake got affectionate by holding hands as they took a happily married stroll through NYC on Sunday.

It's been three weeks since Jessica and Justin were married at a super fancy wedding in Italy.

MITINDO NITE -3 WITH ALLY REHMTULLAH ,DIANA MAGESSA, IN WASHINGTON (DMV) -SAT NOV 24TH !


TANZANIA'S TOP DESIGNERS -ALLY REHMTULLAH NA DIANA MAGESSA KUWASHA MOTO KATIKA MAONYESHO YA MAVAZI YA MITINDO NITE 3 USA YANAYO FANYIKA KILA MWAKA JUMAMOSI YA THANKS GIVING WASHINGTON DC YANAYOANDALIWA NA DESIGNER MA WINNY NA J &P.MMOJA WA WARATIBU WA MAONYESHO HAYO YA MITINDO..MR DICKSON MKAMA ..a.k.a " DMK" AMETHIBITISHA KUWA MWAKA HUU WAMEJIANDAA KWA SHOW YA AINA YAKE AMBAYO MBALI NA TANZANIA  KUNA MADISIGNER KUTOKA NCHI MBALI MBALI ZA AFRICA  NA CARIBBEAN PAMOJA NA SUPER MODELS 16 KUTOKA KAMPUNI YA "IHI MODELING AGENCY",UKUMBI WA KISASA KABISA NA BURUDANI KABAMBE KUTOKA KWA MWANAMUZIKI MAHIRI WA KIKE " HAFSA KAZINJA ".MAONYESHO HAYO YANALETWA KWENU NA MAKAMPUNI YA J&P ENT, DMK GLOBAL PROMOTIONS,NORTHERN ZONE ENT..NA YATARUSHWA LIVE NA VIJIMAMBO TV...MC WA USIKU HUO WA MITINDO ATAKUWA SUNDAY SHOMARI KUTOKA VOICE OF AMERICA !