MCHEZA FILAMU WA BONGO-JB KUJITOSA KUGOMBEA UBENGE MWAKA 2015 !


MWIGIZAJI ‘namba wani’ Bongo mwenye heshima kubwa, Jacob Stephen Mbura ‘JB’ yupo mguu sawa kuingia kwenye ulingo wa siasa kwa kugombea ubunge mwaka 2015.
Akizungumza na paparazi wetu jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita, JB alisema ameamua kuweka wazi ndoto yake hiyo ya miaka mingi ambapo ilikuwa kuitumikia jamii ya Kitanzania.
“Nimeamua kuweka wazi kwamba mwaka 2015 nitajitosa rasmi kwenye kinyang’anyiro cha ubunge. Nia ninayo, uwezo ninao na sababu pia ninayo,…

Ray J Addresses 'Teairra Mari' Dating Rumors 'I Love Her-Video inside.


Ray J Addresses Teairra Mari Dating Rumors 'I Love Her. I’ve Been Knowing Her For So Long' -- Ray J is kicking up a media storm with his Kim Kardashian-inspired record “I Hit It First.” Yet and still, fans want to know why he’s been canoodling with former Roc-A-Fella songstress Teairra Mari.
He recently sat down with Civil TV to discuss his latest controversial single and dance around dating rumors. “As far as Teairra Mari, I love her. I’ve been knowing her for so long.,” he tells Karen Civil‘s cameras. “We’re working on some things. My love for her is always been genuine.”

Rihanna Instagram DAMN!!!...Rihanna Post Outrageous Pics With Her Mother, Do You Think They're Inappropriate???

HOLDING HER MOM'S BOOBS..IS THAT NORMAL?

SWAHILI TV..YARUSHA PART TWO YA INTERVIEW YA MMILIKI WA TEAM YA AFRICAN LYON -NDUGU RAHIM KANGEZI !