EMBU MWANGALIE X -GIRLFRIEND WA DRAKE


DIAMOND OFF TO NIGERIA AGAIN


                                               Diamond na Wema wakiwa Aiport
Diamond akiongea na Swahili Media hakutaka kutoa dondoo nyingi ila alisema kuwa tutegemee kuona Colabo na Wasanii wakubwa wa Nigeria kama DBanji na Wiz Kid.

                                     Akiwa akiwa ameongozana na Manager wake Babu Tale

VIJIMAMBO RADIO SASA IPO HEWANI KWA MAJARIBIO

Timu yaVijimambo inapenda kuwatangazia wadau wake kwa sasa imeanzisha VIJIMMBO RADIO ambayo ipo hewani sasa hivi kwa majaribio kwa hiyo kama utapata nafasi naomba uisikilize kupitia www.vijimamboradio.com na toa maoni yako kumbuka tupo kwenye majaribio na bado tunaendelea kuboresha Radio hii na kama una maoni au ushauri unaweza toa maoni yako au tuandikie barua pepe djlukejoe@gmail.com au Vijimamboblog@gmail.com asante endelea kuburudika na VIJIMMBO RADIO