NAFASI ZA KAZI "MMK MEDIA GROUP" USA & AFRICA .

Kampuni ya MMK MEDIA GROUP
Inayomiliki SWAHILI TV,SWAHILI RADIO ONLINE, SWAHILITV.BLOGSPOT.COM na DMK11.BLOGSPOT.COM Inatangaza nafasi za kazi kwa watu wa masoko na matangazo.
Wenye uzoefu na wanaojituma.
Maombi ya kazi yatumwe katika 
email
career@mmkmediagroup.com

BEYONCE & JAYZ TOOK A VERY LUXURIOUS VACATION FOR BEYONCE'S 32 BIRTHDAY IN SPAIN !


THEY SAY Y.O.L.O ..YOU DONT NEED ME TO SAY MORE THE PICS SPEAKS LOUDER!











BEYONCE WRITTING BLUE IVY NAME ON THE SAND...THINGS RICH PEOPLE DO ..LOL

NICKI MINAJ AKANUSHA KUWAHI KULALA NA GUCCI MANE !


Nicki Minaj amekanusha vibaya kuwahi kutoa penzi lake kwa Gucci Manie ambaye jana aliitumia twitter yake vibaya nakudai kuwa alisha wahi kulala na wanawake wengi akiwamo Nicki,Monica,Taraj P Hansen,Ciara wakati akiwa anatoka na 50 Cents.
     Gucci pia aliwatukana marapper wengine wengi akiwemo Wacka Flaka,T.I,Rocko,Young Jizzy na Drake ambaye alisema Drake ni Instagram Groupie.Inaonekana Gucci amelianzisha beef na watu wote hawa wa Dirty South Mitaa ya ATL je ni kweli yote haya au alikuwa tu anatafuta Kiki???
     Swahili TV inaingia mitaa ya ATL kutafuta ukweli natutawaletea kitakachojili maana inasemekana T.I kachukia sana kwani Gucci alimwita pia Mke wa T.I Tiny very Ugly!

JE RIHANNA NA NICKI MINAJ WANATOKA KIMAPENZI??


RIHANA AKIWA AMEPOZI NA NICKI MINAJ ! PICHA HIZI ZIMEZUA GUMZO baada ya Riri kuwasili kwenye Party ya Mercedes Benz akiwa na Nicki kama vile mtu na mpenzi wake,Gumzo limezuka kutokana na hivi mwezi uliopita Rihanna kusema Hadhalani kuwa yeye anapenda kutoka na mwanamke mwemzie......Je matatozo yake n Chris Brown yamemfanya achukie wanaume kabisa??....Tunalifuatilia hili !