WEMA SEPETU AWASHINDA POLICE WALIOKUJA KUMKAMATA BAADA YA KUPIGA MUZIKI KWA SAUTI YA JUU USIKU NA MAJIRANI KUITA POLICE!

Habari Hii na Global Publisher :Imethibitishwa na DMK411
                              MSANII WA FILAMU WEMA SEPETU
Katika hali ya kushangaza, polisi walijikuta wakipata shughuli pevu kumkamata staa asiyeishiwa matukio Bongo, Wema Sepetu ambaye alidaiwa kupiga muziki kwa sauti kubwa usiku kucha pasipo kuwa na kibali, Amani linakupa mchapo.
Timu iliyofika nyumbani kwa Wema Sepetu kumkamta kwa usumbufu aliosababisha kwa majirani.
Tukio hilo lilitokea Jumanne iliyopita, nyumbani kwa mwigizaji huyo, Kijitonyama jijini Dar kulikokuwa na bethidei ya rafiki yake aliyejulikana kwa jina moja la Neema.
Awali, mapaparazi wetu walipokea simu ya mmoja wa majirani wa Wema ambaye alidai mwigizaji huyo amekuwa na tabia ya kufanya sherehe kwake na kufungulia muziki mkubwa ambao unasababisha kero.
Spika na vifaa vingine vya muziki vilivyotumika katika sherehe hiyo vikiwekwa kizuizini.
“Kwa kweli ni kero, kila mara amekuwa na tabia ya kupiga muziki mkubwa katika sherehe zake ambazo hazina kichwa wala miguu. Kama jana (usiku wa Jumatatu) muziki ulifunguliwa kuanzia saa mbili usiku mpaka asubuhi na majirani walimfuata Wema mara kadhaa kumtaka apunguze sauti lakini aliwajibu vibaya.
Polisi akisimamia zoezi hilo kwa kuwawajibisha wahusika (mmiliki wa muziki na mwenye sherehe).
“Njooni mshuhudie wenyewe, tumeita polisi wamkamate,” alisema jirani mmoja.
Mapaparazi wetu walichukua usafiri wa pikipiki na kuwahi fasta na kukuta polisi wakihangaika kwa muda mrefu kumkamata mrembo huyo lakini ikashindikana kwa kuwa alikuwa amelewa na kukimbia hovyo huku akiwa nusu utupu.
Mwenye sherehe, Neema( rafiki wa Wema Sepetu) akichukuliwa kwenye bajaji.
“Kwa sababu hiyo walimkamata mmiliki wa muziki ambaye jina lake halikupatikana mara moja na mwenye sherehe (Neema) kisha kwenda nao katika ofisi za mtendaji, Kijitonyama  kwa ajili ya hatua za kisheria,” alisema.

DANCER WA DIAMOND "MOSES IYOBO" AFUNGUKA -ASEMA MIMBA YA BABY WAKE STAR WA FILAMU AUNTY EZEKIEL NI FARAJA KWAKE!


MOSES IYOBO nambari one Dancer wa  Nasibu Abdul  ‘Diamond’ amefunguka kuwa hakuna kitu kinachompa faraja kubwa kama mimba ya mpenzi wake ambaye ni staa wa filamu Bongo, Aunty  Ezekiel.
Mimi tu nikiwaza mtu ambaye ninampenda kwa dhati ana mimba yangu napata faraja kubwa sana hivyo kila siku namuomba Mungu ajifungue salama na ampitishe katika majaribu mazito,” alisema Iyobo.

SAFARI RESTAURANT-CHAKULA CHA KITANZANIA-KWA WATANZANIA NA MATAIFA YOTE- KARIBUNI !




                

VIDEO- DIAMOND ALIVYOWARUSHA WANA DAR PALE TIGO KIBOKO YAO !

BREAKING NEEEEEEWWZZZZ - JE NI MSANII GANI ATAKAYE WARUSHA ROHO KWENYE BIRTHDAY BASHH YA CCM NEW YORK FEB 21?????..NUNUA TIKETI USIJE JILAUMU -DETAILS DROPPING SOON !

Hii itakuwa ni Sherehe ya aina yake kufanyika katika Jiji la Wajanja Big Apple,Watu wote bila kujali Itikadi zao wanaalikwa kwani hii ni Birthday Bashhh na sio mkutano wa kisiasa,Njoo uburudike na watanzania wenzako kutoka states mbali mbali pamoja na Nje ya nchi,kutakuwqa na Burudani kutoka kwa wasanii maarufu kutoka Tanzania,Habari zaidi za Wasanii na Mgeni Rasmi kufuata.
                                                   Tuungane Tuiline Tanzania Yetu



                          

                                         UKUMBI WA RICHI RICH PALACE KWA NJE                          
                                     UKUMBI UNAVYOONEKANA KWA NDANI
                          
                                                  TICKETS PRICE: ADVANCE $40 | DOOR $50
Inclusive of:
Red Carpet Grand Entrance
Photo up Dress Ready
*3-Course Dinner
*Soft Drinks
*Elegant Settings
*Live Entertainment
*Cash - Bar Beer $3| Liqour $5 | Wine $5 | Patron $7
CALL: 347-663-0781  | 917-698-6943 

TOP 10 RICHEST BLACK PEOPLE IN THE WORLD !

12345678910

KIBAO CHA LEO "YAMOTO BAND NITAKUPWELEPWETA"



LOOK AT THIS STARS WITHOUT UNDERWEAR ...BUT AMAZING !

Stars Without Underwear
                                                              WHAT DO YOU THINK

LUPITA NYONG'O WON SAG AWARD -SHE WAS STUNNING AT THE RED CARPET !

SAG Awards 2015 Red Carpet Fashion: Best Dressed Stars
                                  Lupita was one of the best dressed of the evening
SAG Awards 2015 Red Carpet Fashion: What the Stars Wore
                                    Jeniffer Aniston and the others looked amazing too

MISS COLOMBIA "PAULINA VEGA CROWNED MISS UNIVERSE 2015!

                     
                                                        Miss Universe  Paulina Vega
Miss Colombia, Paulina Vega, poses for the judges, during the national costume show during the 63rd annual Miss Universe Competition in Miami, Fla., Wednesday, Jan. 21, 2015. (AP Photo/J Pat Carter)
                                            Hapa Miss Universe Paulina Poses with Nationa Costume

DESIGNER MAARUFU MTANZANIA NDUGU SHERIA NGOWI AMVALISHA RAIS MPYA WA ZAMBIA KWENYE INAUGURATION JIJINI LUSAKA.




 Rais Mpya wa Zambia Ndugu Edgar Lungu wakati akiapishwa Jijini Lusaka Zambia akiwa amevalishwa Suit Maridadi ya Black Label  ya Designer Mtanzania Sheria Ngowi,ambaye hivi karibuni tutaanza kumuona Rais wa Tanzania Ndugu JK na Waziri Mkuu Ndugu Pinda nao wakianza kuzivaa kwani Ngowi tayari ameshachukua Vipimo vyao.

CCM YEW YORK INAWAKARIBISHA WATANZANIA WOTE KWENYE BASHHHH LA MIAKA 38 YA CCM...TEGA SIKIO KWA HABARI ZA NANI KUTUMBUIZA FEB 21 !

AUNTY EZEKIEL ACHUKIZWA NA UAMUZI WA KING MAJUTO !!

    
WAKATI mkongwe wa filamu za kuchekesha, King Majuto akidai kutoshiriki kazi na msanii yeyote kutokana na kuibiwa, msanii mwenzake, Aunty Ezekiel amechukizwa na uamuzi huo.
Akizungumza na Uwazi, Aunty alisema kuwa haamini kama wezi wa kazi zake ndiyo chanzo cha Majuto kuachana na filamu za kushirikishwa bali inawezekana kuna tatizo lake lingine.

MWALIKO WA NGUVU KUTOKA CCM NEW YORK KUSHEHEREKEA MIAKA 38 TANGU KUZALIWA CCM !

YAMOTO BAND LIVE KWA MARA YA KWANZA KWENYE JIJI LA LONDON { Made in East Africa }

 
 Confirmed...21Feb2015..Yamoto! Yamoto! Yamoto Band Live in the UK For the first Time Ever...When we Say Live, we mean 

Live with Full Band & Dancers...
This is one show that's not to be Missed... Sponsored by @officialjestinageorgeblog @bongodeejays@zuriihouseofbeauty

 Zurii House of Beauty CEO akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wasanii wa yamoto band Maromboso na Aslay  baada ya makubaliano ya kuwadhamini band hiyo kuja  kufanya show yao jijini London @maromboso @aslayisihaka
 Zurii House of Beauty CEO akiwa kwenye picha ya pamoja na mameneja wa yamoto band
 It's gonna be bigger and better! UK & Europe people Save the Date. Their Live Performance is a must see..If you love live music
Make sure you get your tickets mapemaaaa...Hili ni Bonge la show kuwahi kutokea na watoto wameahidi kuweka historia


NEW YORK NEW YORK FEB 21 "THE BIGGEST BIRTHDAY PARTY TO START THE YEAR -ALL INVITED !