SNOOP DOGG TO HOST THE 2013 BET HIP HOP AWARDS ON TUESDAY OCTOBER 15 BUT THE SHOW WILL BE TAPED ON SEPT 28


Hip Hop Awards mwaka huu itakuw arecorded siku ya september 28 katika jiji la ATL nakurushwa hewani siku ya Jumanne tarehe 15 .Mwaka huu Mwanahip hop chipukizi ameongoza kwakuwa na 14 Nominations kuliko wanamuziki magwiji kama Jay Z,Kanye,Wayne na wengine,hivyo kama ikitokea akashinda zote itabidi atengeneze chumba kimoja nyumbani kwake kwa ajili ya Zwards tu kwani itakumbukwa kuwa Lmar alishinda awards mbili kwenye BET Music Awards Mwezi wa sita mwaka huu.
ANGALIA NOMINEES HAPA CHINI
Best Hip-Hop Video
A$AP Rocky featuring Drake, 2 Chainz & Kendrick Lamar, “Problems”
B.o.B featuring T.I. & Juicy J, “We Still In This”
J. Cole featuring Miguel, “Power Trip”
Drake, “Started From The Bottom”
Kendrick Lamar, “Don’t Kill My Vibe”

"OMMY DIMPOZ" LOS ANGELES,HOLLYWOOD,BAY AREA JUMAMOSI OCTOBER 5

                      NUNUA TIKITI YAKO MAPEEEEEEEEMA USISUBIRI "BAADAEEE"

BREAKING NEWS: SWAHILI RADIO YAZINDUA APP YA ANDROID PHONES, IPHONE, IPAD,IPOD NA BLACKBERRY

Swahili Radio baada ya kupokea maombi mengi ya wasikilizaji wetu kutoka sehemu mbalimbali duniani, tunapenda kuwatangazia kuwa Radio yetu kwa sasa inapatikana bila mkwaruzo katika simu za viganjani za iPhone, Blackberry, Android phones na katika kila kifaa chenye internet duniani. Endelea Kuangalia Swahili TV na kusikiliza Swahili Radio. Jinsi ya kutupata 
1. Download Tunein (Tunein ni neno moja usiache nafasi) Tunein Radio app kwa simu yako mfano; iphone, ipad,ipod,android au Blackberry
2. Baada ya ku-download , open app na nenda kwenye browser  na andika neno swahili radio kisha search.
3. Ukiona logo yetu ya swahili radio bofya na sikiliza.

TUNAPATIKANA HEWANI MASAA 24 TUKIWATANGAZIA KUTOKA JIJINI WASHINGTON D.C. TUKIWA KATIKA MAJARIBIO



SHILOLE ALIPOFANYA ZIARA VOA


Shilole alipofanya ziara yake nchini  Marekani alipata ya kutembelea idhaa ya Kiswahili ya VOA na kufanya mahojiano na Sunday Shomari bofya hapa kuungana naye alipokuwa ndani ya studio za VOA akieleza yale aliyoyapata Marekani na siri ya staili ya muziki wake.Hii ikiwa ni sehemu ya Kwanza.

http://www.voaswahili.com//media/all/latest.html?z=3149