USIKU WA UHURU DMV


Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknologia Mhe. Januari Makamba akiongozana na mkewe Ramona Makamba  wakiwasili ukumbini na kulakiwa na Kaimu Balozi wa Tanzania nchinii Marekani na Mexico Afisa Paul Mwafongo akiwemo Dj Luke wakati walipokuwa wakiingia ukumbini Laurel, Maryland kwenye sherehe ya Uhuru wa Tanzania Bara iliyofanyika Jumamosi Dec 7, 2013 na kuhudhuriwa na umati wa wakazi wa DMV wakiwemo marafiki zao kutoka majimbo ya jirani.
Mhe, January Makamba akiwapa wanaDMV salamu toka Tanzania na kuwaelezea mstakabali mzima wa nchi yetu na kusema miaka 52 kwa binadamu ni mingi lakini kwa nchi bado ni michache aliezezea pia upande wa mawasialiano unavyokuwa kwa kasi na jinsi alivyofarijika kuja kukutana na Watanzania wa DMV na kusema yeye ni muumini mkubwa wa raia pacha kwani anaamini Mtanzania wa Ughaibuni ananafasi kubwa ya kuchangia maendeleo ya nchi yake. Leo Mhe. January Makamba atakutana na WanaDMV Mirage Hall kuanzia saa 11 jioni.
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti na Utawala wa Umma Bwn, Georgr Yambesi akielezea mfuko wa pensheni wa PSPF na kuendelea kuelezea faida zake na kwamba sasa mfuko huu umeundwa kutumiwa na hata Watanzania waishio ughaibuni. Leo pia wataongea na Watanzania DMV Mirage Hall Langley Park kuanzia saa 11 kamili.
Dj Luke akiwashukuru watu wote waliofika wakiwemo ujumbe toka Tanzania na Mhe. January Makamba kwa niaba yake biafsi pamoja na waandaaji wengine wa sherehe hii Baraka Daudi na Dj Seif.
Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV akiongea machache na kutoa salamu za Uhuru kwa wanaDMV.
Afisa wa Ubalozi wa Tanzania nchi Marekani Mindi Kasiga akielezea wasifu wa Mhe. January Makamba.

Mshereheshaji Tuma akipendezesha usiku wa Uhuru.

Mgeni rasmi Mhe, January Makamba akishirikiana na Dj Luke kukata keki ya Uhuru.
Meza kuu wakisimama kwa kumkumbuka Nelson Mandela na kwa wimbo wa Taifa.
Mshindi wa tatu wa Miss Tanzania USA Pageant, Faith Kashaa kutoka Alabama akiimba wimbo wa Taifa.
Watanzania wakimshangilia Faith Kashaa baada ya kumaliza kuimba wimbo wa Taifa.

RAPPER ICE T'S WIFE IS TAKING PORN BUSINESS BY STORM!!


                                                           ICE T AND HIS WIFE COCO
Rap icon Ice-T's video vixen wife, Coco Austin, has reportedly decided to take her career into uncharted territory by venturing into adult entertainment. According to reports, Austin will release her own line of x-rated toys next month.
Coco -- Ice-T's wife -- is breaking into the toy business ... the sex toy business ... and SWAHILI has learned she's gunning to penetrate the marketplace by January. Coco's rep tells TMZ ... Coco has teamed up with Cal Exotics, the world's largest sex toy company -- and plans to announce her own line of X-rated items in January.
We're told, "The toys will reflect Coco's personality and will include massagers, vibrators, and more!" "The toys are for solo and couples play. Coco is involved with the entire process, from packaging to the promotional strategy." She's like Santa Claus ... for adults. 
Austin made headlines earlier this year after appearing on a broadcast of talk show "The Real" to speak on her physical appearance and butt implant rumors.
"Like I said, I was a tomboy and I started noticing I could get a lot out of people at a certain date," she recalls.
"I was like, 18, (and thought) wait a second, I can work with these curves. But I really kind of hide my hips. I hated my hips. Now, I flaunt it. I was always flaunting my boobs. I loved my boobs. I bought them at 18. I loved them," Coco said. "I was taking away from the hip area. I was covering it up and it wasn't till I got with my husband, Ice. He's the one, I give him credit for me being me to this day because he's the one who's like, 'You have something to work with, work it.
It's unique.'" She also shut down rumors of "booty implants" by allowing all of the ladies to touch her backside, all of which led into an impromptu discussion on the twerking phase. Coco, who thinks it's just another name for "booty shaking," put her skills on display, instructing everyone that it all starts in the lower back. 
From TMZ Newz