BRAND NEW VIDEO "JUX" UZURI WAKO !


        Jux ni mwanamuziki anaye kimbiza kwenye anga za muziki wa R&B kule bongo.Style yake ya Muziki sijui hata tuiiteje maana ni bongo fleva iliyochanganyikana na R7B fulani.All in all Jamaa anakimbiza Bongo na Video hii aliifanyia China ambako ndio yaliko makazi yake kwa sasa !