BOW WOW KUBADILISHA JINA BAADA YA BET AWARDS!

After 20 years, Bow Wow is dropping his stage in preference of his real name Shad Moss. The 106 & Park host has to decided to retire the name that launched his rap career to fit his grown up image
The 27-year-old announced via Instagram, “After BET awards I will no longer go by Bow Wow! I’m going by my real name ‘Shad Moss’ we made a lot of history as bow wow. Now its time for the next chapter and challenge.”
The name change slated to take effect June 29, is part Moss’ growth. “Bow wow doesn’t fit who I am today’” he explained. “Ima father business man, TV host, Actor and rapper! Time for MR Moss to take over!”


RAPPER NAS- HIS DAUGHTER IS NOW GROWN CELEBRATES 20TH BIRTHDAY

     It seems just like yesterday, Destiny Jones was a lil baby! She’s all grown up now and partying it up with the best of them, and this past week, celebrated her birthday on Father’s Day with her proud PaPa.
Check out pics here.



TAMASHA LA UZALENDO NA UZINDUZI WA WIMBO WA MIAKA 50 YA MUUNGANO-DODOMA LEO HIII!


                                            OMMY DIMPOZ & DIAMOND

                         SHILOLE NA MPENZI WAKE NUHU MZIWANDA

 MAMBO YA SELFIE DJ FETTY ,DIAMOND NA MARTIN KADINDA

                                   AFANDE SELE NA OMMY DIMPOZ KWA POZ

LIL WAYNE NICKI MINAJ AND LEBRON JAMES ALL IN EW BEATS BY DRE AD.

TUZO ZA MTV MAMA KUFANYIKA LEO, DURBAN AFRIKA KUSINI


Msanii  wa Nigeria, David Adedeji Adeleke 'Davido' (kushoto) akiwa na Diamond Platnumz.
Mwigizaji maarufu nchini Marekani ambaye pia ni mchekeshaji, mwandishi wa muswada na mwongozaji wa filamu, Marlon Wayans anatarajiwa kuwa  msanii mkubwa atakayeongoza jukwaa katika hafla ya ugawaji wa Tuzo za MTV Africa Music Award 2014 zikatakazo tolewa leo jijini Durban Kwazulu - Natal nchini Afrika Kusini.
Hafla ya utoaji wa tuzo itafanyika katika Ukumbi wa Durbun International Convertion Center (ICC) katika mji wa Kwazulu-Natal, Afrika Kusini.

Tuzo hizo zinatarajiwa kurushwa live kuanzia saa tatu kamili usiku wa leo, kupitia MTV Base (Dstv Channel 322) na MTV ( Dstv Channel 130).

Katika tuzo hizo, Mwanamuziki wa Tanzania, Diamond anawania vipengele viwili ikiwemo Mwanamziki Bora wa Kiume akiwa na Anselmo Ralph ( wa Angola), Davido (Nigeria), Donald ( Afrika Kusini) na Wizkid (Nigeria).
Diamond pia anawania kipengele cha Kolabo Bora kupitia wimbo wa 'Number One' (Remix) (Tanzania/ Nigeria), wakiwa na Amani ft Radio na Weasel- 'Kiboko Changu' ( Kenya/ Uganda), Mafikizolo feat May D - 'Happiness' ( Afrika Kusini/ Nigeria), R2bees ft Wizkid - 'Slow Down' (Ghana/Nigeria) na Uhuru ft DJ Buckz, Oskido, Professor, Yuri Da Cunha - 'Y-tjukutja' (Afrika Kusini/Angola)
Tuzo anazowania Diamond
Wakati Watanzania wakishangilia ushindi wa Diamond katika tuzo za KTMA za hapa nyumbani, msanii huyu leo anawapa mtihani mgumu wengi kuamini kama ataweza kushinda tuzo hizo ili kufungua njia katika tuzo za kimataifa ikiwemo BET.Msimamizi mwingine wa Diamond ni meneja Mkubwa Fela ambae amethibitisha kwamba kwenye safari yake ya kuja South Africa ameambatana na Watanzania wengine saba ila kilichomfurahisha zaidi ni kwamba amekuja kukuta washkaji zake zaidi ya 20 wanaoishi Durban wameshanunua ticket tayari kwa ajili ya kumshangilia Diamond’
Watanzania waliofunga safari kutoka Tanzania mpaka Durban ni pamoja na Wema Sepetu, Aunt Ezekiel, Bab Tale, Salam ambae pia ni meneja wa Diamond, Mkubwa Fela, Watangazaji Sam Misago, B12, Adam Mchomvu, Millard Ayo, Shadee lakini pia Nancy Sumari na mpenzi wake Lucas, Ommy Dimpoz, Shetta na mpiga picha Michael Carter Mlingwa.

DIAMOND PLATNUMZ-AHSANTE MHESHIMIWA RAISI KWA KUWAJALI VIJANA WAKO WANAOJITUMA!

Promoter DMK,Diamond Platnumz,Kevin Liles,Raisi Kikwete.
Hivi Majuzi wakati Tour ya Diamond ilipokuwa New York,Ma Promoter wake pamoja na Yeye mwenyewe walikaribishwa na Mheshimiwa Raisi ambapo mbali na mambo mengine Mheshimiwa alimpongeza Diamond katika mafanikio yake ikiwa nipamoja na Kuchaguliwa kuwania tuzo za BET hapa nchini Marekani.Raisi hakuwahi kupata nafasi ya kumpongeza kijana huyo kwani wakatimatangazo yalipotoka Diamond alikuwa nje ya nchi.Mheshimiwa pia alimkutanisha Diamond na aliyekuwa Raisi wa Def Jam Record/Warner Bros Music group Mr Kevin Liles ambaye alionyesha nia ya kufanya mambo makubwa na Diamond.
Kevin ni Multi Millionare mwenye utajiri wa zaidi ya Dollar Milioni 60 ambaye kwa sasa ni manager wa wanamuziki Trey Song,Big Sean,Ty Dolla Sign,Kuna uwezekano mwanamuziki Diamond akawajoin Hao hivi karibuni..waingereza wanasema(hard work pays)Congratulation to Diamond for hard work and Thank you Mr President for Supporting your Youths.
Kuna jambo liliwafurahisha kutoka kwenye video za Diamond
                                        Je wataka kujua Nini hapa kilikuwa kikizungumziwa?

RIHANNA.........WOW



DIAMOND ALIVYOTEMBELEA MGAHAWA WA KITANZANIA WASHINGTON DC.....WASHABIKI WAPATA FULSA YA PICHA

 Diamond Platnumz akiongozana na wasafi pamoja na Dj Romy Jons (Dj wake) kulia wakiwa na mwenyeji wao DMK wakiwasili tayari kukutana na mashabiki wake waliofika kwenye mgahawa wa Safari, Washington, DC kumsubili na kupiga nae picha.
  Diamond Plutnumz akiwa ndani ya mgahawa wa Safari na kruu wake katika picha na mashbiki waliofika kumsabai na kupiga nae picha.
 Mashabiki wa Diamond wakipata ukodak moment na Diamond Plutnumz mara tu alipotua ndani ya mgahawa wa Safari siku ya Ijumaa May 30, 2014.
 Shabiki akiwa bado na kiu ya kupata ukodak na Rais wa Wasfai, Diamond kulia ni DMK poromota wa msanii huyo ambaye ndie anayekimbiza sasa hivi na akiwa nominee wa MTV africa na BET award itakayofanyika nchini Marekani June 29, 2014.
 Diamond akiongea jambo na Mkuu wa Utawala na Fedha Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani, Mama Lily Munanka
 Mashabiki wa Diamond Plutnumza wakipata picha ya pamoja na Rais wa Wasafi.
 Mashabiki kutoka jirani zetu Kenya nao wakipata picha na Prezidaa Diamond Plutnumz walipofika kwenye mgahawa wa Safari uliopo Washington, DC.
 Madancer wa Diamond wakiwa na Prezdaa ndani ya mgahawa wa Safari Washington, DC.
 Mtasha wa Kimarekani aliyewahi tembelea Tanzania nae hakuwa nyuma kupata picha na Diamond ndani ya mgahawa wa Safari ulipo Washington, DC
 Shabiki akiwa na furaha kupata ukodak na Rais wa Wasafi Diamond Plutnumz
 Diamond akiwa na shabiki wake katika picha ya pamoja.
Shabiki wa Diamond hakuwa nyuma katika kupata ukodak wa kumbukumbu.
 Shabiki wa Diamond akipata picha ya pamoja na Prezedaa wa Wasafi.
 Shabiki kutoka kwa jirani zetu nae akipata picha huku akijaribu kupata picha kwenye simu yake.
 Dj Romy Jons akipata picha ya pamoja na mashabiki kwenye mgahawa wa Safari uliopo Washington, DC.
 Shabiki katika picha ya pamoja na Diamond.
 Shabiki na Diamond katika picha ya pamoja.
 Shabiki akipozi kwa picha na Diamond.
Shabiki akipozi kwa ukodak moment na Diamond.
 Shabiki wa Diamond akipata picha na rais huyo wa Wasafi.
 Shabiki akipata picha na Dj wa Diamond, Dj Romy Jons
Shabiki akipata picha na Wasafi.
Mashabiki katika picha ya pamoja na poromota wa Diamond, DMK.
Picha na Vijimambo Blog