SALOME AANGUSHA DINNER LA NGUVU KWA AJIRI YA OMMY DIMPOZ NYUMBANI KWAKE MARYLAND !

SALOME NA MGENI WAKE OMMY DIMPOZ KATIKA POZ
Baadhi ya Waalikwa akiwemo Promoter "DMK" katika Picha wakati wa chakula nyumbani kwa Salome Frederick Maryland.Salome alimwalika Dimpoz Pamoja na Baadhi ya Marafiki zake katika Chakula cha jioni kilicho andaliwa nyumbani kwake.Mbali na chakula Pia watu waliburudika na Vinywaji laini laini hadi majogoo.
SALOME KATIKA  POZ LA KUSIMAMA na MR POZ KWA POZ 
QUIZELA AKIWA KATIKA POZ NA OMMY DIMPOZ
Habari za Kuaminika nikuwa Dinpoz anapenda sana Watoto ebu angalia akiwafundisha mapoz
Dimpoz katika Picha ya Pamoja na Baadhi ya Wageni Waalikwa wa Dinner hiyo Nyumbani Kwa Salome
Dimpoz the Uncle katika Poz na Model wa Salome "Nyambona"

JUSTINE TIMBERLAKE AND ROBINTHICKE TO PERFORM FOR PHARELL WEDDING PARTY!

              
    Imethibitishwa kuwa Robin Thicke na Justine Timberlake ndio watakao tumbuiza kwenye sherehe za Harusi ya Producer Maarufu Pharel Williams.Sherehe hizo zitafanyika Miami ambapo zitakuwa nisherehe tu kwani Harusi ilifungwa kimya kimya mwezi August huko France.
   Pharell amemua Model na Designer maarufu Helen Lasichanah ambaye pia ni baby mama wake.Pharell ni producer maarufu aliyefanya kazi na wanamuziki mbalimbali kama Jay Z,Kanye,Beyonce,Madona na wengine wengi hivyo tutegemee guest list ya Mastaa karibu wote.

KELLY ROWLAND ATUMBUIZA KWA PESA NYINGI AFRICA YA KUSINI.


Kelly Rowland atumbuiza kwenye private party ya bilionea mkubwa wa Africa ya Kusini Douw Styn

JUMBA LA KIFAHARI LA BILIONEA HUYO WA SOUTH AFRICA
Kelly Rowland aliwasili Nchini humo tarehe 25 sept kwa ajili ya Party ya siku mbili iliyokuwa imepangwa kufanyika kabla Mandela hajawa mgonjwa na ndiye aliyekuwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwani ni rafiki mkubwa wa bilionea huyo.

KIJIWE CHA UGHAIBUNI NA VIJIMAMBO

BIASHARA MATANGAZO !

Yaani Sio Mabango tu


Na Joseph Msami wa idhaa ya Kiswahili ya radio ya Umoja wa Matifa

Mfanyabiashara huyu mwenye asili ya Uhispania ambaye jina lake halikufahamika mara moja alinaswa katikati ya mji wa New York akiwa amevaa mabango yanayotangaza mavazi ya wanaume (suti) na kusambaza vipeperushi vinavyoelekeza wapi bidhaa hizo zinapatikana pamoja na mawasiliano.
Asili ya wakazi wa mji huu, kutingwa na shughuli na kutembea mwendo kasi muda mwingi kunawalazimu wafanyabiashara kubadili mbinu za kufikisha ujumbe wao ambapo badala ya kuongea na watu,wengi hutoa kadi za biashara zenye mawasiliano (business cards) au kuweka mabango yenye ujumbe husika.