REDDS MISS TANZANIA 2013 AWAFARIJI WATOTO YATIMA


Redds Miss Tanzania 2013 Happiness Watimanywa ( kushoto) akipinga hodi ikiwa ni ishara ya kukaribishwa katika Kituo cha kuleta watoto yatima Mgolole cha Masista wa Moyo Safi wa Maria wa Morogoro , ambapo alifuatana na warembo wengine wawili, Miss Tanzania mshindi wa tano, Elizabeth Perrty, na Sabra Islam Miss Morogoro 2013, wazazi wake na Viongozi wa juu wa Kamati ya Miss Tanzania na kupokelewa na Mama Mkuu wa Kituo hicho, Sista Flora Maria Chuma ( mwenye kutabasamu ) Desemba 25, mwaka huu walipotembelea kwa ajili ya kutoa zawadi ya vyakula vya aina mbalimbali ikiwa ni mpango wake wa kusaidia makundi ya aina hiyo.
Redds Miss Tanzania 2013 Happiness Watimanywa ( kulia) akimkabidhi kopo la maziwa Mama Mkuu wa Kituo cha kuleta watoto yatima Mgolole cha Masista wa Moyo Safi wa Maria wa Morogoro ,Sista Flora Maria Chuma ( kushoto) Desemba 25, mwaka huu walipotembelea kutoa zawadi ya vyakula vya aina mbalimbali kwa Kituo hicho ikiwa ni mpango wa kusaidia makundi ya aina hiyo akiambatana na warembo wengine wawili, Miss Tanzania mshindi wa tano, Elizabeth Perty, na Sabra Islam Miss Morogoro 2013, wazazi wake na Viongozi wa juu wa Kamati ya Miss Tanzania.
Redds Miss Tanzania 2013 Happiness Watimanywa ( kushoto) akiwa amempataka mikononi mtoto yatima Happiness, akiwa na warembo wengine wawili, Miss Tanzania mshindi wa tano, Elizabeth Perrty, ( kulia) na mwezake Sabra Islam Miss Morogoro 2013, na Viongozi wa juu wa Kamati ya Miss Tanzania, akiwemo Mkurugenzi Hashim Lundega, wakisikiliza maelezo ya Mama Mkuu wa wa Kituo cha kuleta watoto yatima Mgolole cha Masista wa Moyo Safi wa Maria wa Morogoro ,Sista Flora Maria Chuma ( hayupo pichani ) ,Desemba 25, mwaka huu walipotembelea na kutoa zawadi ya vyakula vya aina mbalimbali kwa Kituo hicho siku ya sikukuu ya Christimas ikiwa ni mpango wake wa kusaidia makundi ya aina hiyo.
Redds Miss Tanzania 2013 Happiness Watimanywa ( kushoto) akiwa amempataka mikononi mtoto yatima Happiness, alipoteembelea Kituo cha kuleta watoto yatima Mgolole cha Masista wa Moyo Safi wa Maria wa Morogoro , Desemba 25, mwaka huu walipotembelea na kutoa zawadi ya vyakula vya aina mbalimbali kwa Kituo hicho siku ya sikukuu ya Christimas ikiwa ni mpango wake wa kusaidia makundi ya aina hiyo, pia alifuatana na warembo wengine wawili, Miss Tanzania mshindi wa tano, Elizabeth Perrty, na Sabra Islam Miss Morogoro 2013, wazazi wake na Viongozi wa juu wa Kamati ya Miss Tanzania .
Redds Miss Tanzania 2013 Happiness Watimanywa ( kushoto) akiwa na warembo wengine wawili, Miss Tanzania mshindi wa tano, Elizabeth Perty, na Sabra Islam Miss Morogoro 2013, wazazi wake na Viongozi wa juu wa Kamati ya Miss Tanzania, wakisikiliza maelezo kutoka kwa Mama Mkuu wa wa Kituo cha kuleta watoto yatima Mgolole cha Masista wa Moyo Safi wa Maria wa Morogoro ,Sista Flora Maria Chuma ( kulia) Desemba 25, mwaka huu , walipotembelea na kutoa zawadi ya vyakula vya aina mbalimbali kwa Kituo hicho ikiwa ni mpango wake wa kusaidia makundi ya aina hiyo.
Redds Miss Tanzania 2013 Happiness Watimanywa akisaini kitabu cha wageni.
Redds Miss Tanzania 2013 Happiness Watimanywa akigawa zawadi za vyakula vya aina mbalimbali kwa baadhi ya watoto yatima wanaolelewa na Kituo cha Mgolole cha Masista wa Moyo Safi wa Maria wa Morogoro , Desemba 25, mwaka huu ikiwa ni sehemu ya kusaidia watoto wa aina hiyo , akiwa ameambatana na warembo wengine wawili, Miss Tanzania mshindi wa tano, Elizabeth Perty, na Sabra Islam Miss Morogoro 2013, wazazi wake pamoja na Kamati ya Miss Tanzania.
Picha na John Nditi.