DIAMOND KUTUMBUIZA NDANI YA ONE AFRICA FESTIVAL- BARCLAYS CENTER NEW YORK !


LADY JAY D ALIVYO WARUSHA WABUNGE DODOMA

Mwanamuziki Nyota wa Kike nchini Judith Wambura a.k.a Lady Jay Dee anayetamba na kibao chake cha #NdiNdiNdi amefanya onyesho alilolipa jina la #NaamkaTenaTour katika viwanja vya Royal Village, onyesho lililohudhuriwa na watu na watu mbalimbali akiwemo Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson, Waheshimiwa Wabunge, Mkuu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa, Alvaro Rodriguez pamoja mashabiki wake mkoani Dodoma.
Na Zainul Mzige, Doodoma
Catherine Magige utambulisho
Mratibu wa show ya Lady Jay Dee ya Naamka Tena Tour ya mjini Dodoma, Mh. Catherine Magige akizungumza machache na kutambua uwepo wa Naibu Spika wa Bunge na waheshimiwa wabunge wenzake katika viwanja vya Royal Village mjini humo. (Picha zote na Zainul Mzige)
Bongo Flava Quee, Lady Jay Dee
Malkia wa Bongo Flava, Lady Jay Dee katika ubora wake.
Lady Jay Dee at Royal Village
Lady Jay Dee na The Band
Mwanamuziki Lady Jay Dee na The Band wakitoa burudani kwa wakazi wa Dodoma na vitongoji vyake katika harakati za kuwafikia mashabiki wake wote nchini nzima kwa show aliyoi' brand' kama Naamka Tena Tour.