SWAHILI TV EXCLUSIVE INTERVIEW WITH ARMY NANDO MSHIRIKI TOKA TANZANIA ALIYESHIRIKI BBA "THE CHASE" SEASON 8

Swahili TV ilifanya mahojiano exclusive na  Ammy Nando katika Jiji la Los Angeles, USA. Ammy ambaye kwa sasa anajulikana kama Army Nando, Mtanzania mwenye makazi yake katika jimbo la California, aliyeshiriki   Big Brother Africa season 8 "The Chase" na hatimaye kutolewa .  Katika video hii Nando amefunguka kuhusu kilichomfanya atolewe mjengoni, maisha ya mle ndani na pia ameweka bayana mipango yake ya baadaye, nini kinachofuata baada ya BBA.


Kigugumizi kwenye kesi za madawa kinatokana na wasiwasi-Msabaha.

Tatizo la ulanguzi wa mihadarati na madawa ya kulevya limeonekana kuongezeka ncjhini Tanzania na kwenye kipindi cha Live Talk cha VOA wamezungumzia tatizo hilo na kufanya mahojiano na waziri Mwakyembe ambaye pia alikanusha taarifa za vyombo vya habari kuwa atatoa orodha ya vigogo wanohusika na biashara hiyo nchini Tanzania. Walioshiriki ni mkuu wa kitengo cha kupambana na madawa ya kulevya nchini Tanzania Godfrey Nzowa , mbunge wa Chadema (viti maalum) mjini magharibi Mariam Msabaha na Meneja wa Trent Recovery nyumba ya kusaidia watu wanaotumia madawa Zanzibar na mtumiaji wa zamani. Abdu Rahman Abdallah. Kusikiliza mahojiano mjadala huo bofya hapa. Kusikiliza mahojiano mjadala huo bofya hapa. http://www.voaswahili.com/content/article/1731337.html