OMMY DIMPOZ ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI NA KUKUTANA NA BALOZI MAMA MULAMULA NA MAOFISA UBALOZI!

    Mwanamuziki Ommy Dimpoz akitia Signature kitabu cha wageni Ubalozi wa Tanzania Washington dc

Ommy Dimpoz akiwa na Mheshimiwa Balozi Mulamula na Promoter wake DMK ambaye pia ni Mkurugenzi wa MMK Media Group kampuni inayomiliki Swahili Radio online,Swahili Tv online,Swahilitv blog,na DMK411 blog
Mheshimiwa Balozi katika Poz na Poz kwa Poz 
Dimpoz katika Picha ya Pamoja na Maafusa wa Ubalozi wa Tanzania washington dc
Afisa Habari wa Ubalozi Mindy Kasiga Akimpa Historia fupi Mwanamuziki huyo ya Mabarozi mbali mbali waliopita kabla ya Mheshimiwa Mulamula.
Tangu uhusiano wa Tanzania na Marekani kuanzishwa ni mabalozi 15 tayari wamekwisha litumikia taifa akiwemo balozi wa sasa.
Dimpoz aliitumia Fulsa hii Vyema kuongea na Balozi na Maafisa wa Ubalozi kuhusu Changamoto mbalimbali zinazowakabili vijana wa kitanzania ikiwa ni pamoja na matatizo yanayowakabili wasanii ikiwa ni pamoja na maharamia wa kazi za wasanii ambapo Mheshimiwa Balozi alihaidi kusaidia kulitafutia ufumbuzi napia kusaidia uwezekano wa kurahisisha upatikanaji wa muziki wa Tanzania kupitia mitandao kama ya i tune na Amazon.
Mbali na Mabo ya Kazi Dimpoz pia aliwafurahisha Maafisa wa Ubalozi kwa Stori mbali mbali za maisha yake.

TANZANIA HOUSE (UBALOZI WA TANZANIA MAREKANI)

MICHAEL JORDAN I'D DESTROY LEBRON IN 1-ON-1 ...BUT NOT KOBE BRYANT !

1001_jordan-lebron_kobe-02
Michael Jordan says there's only one guy who would beat him in a game of 1-on-1 ... and it ain't LeBron James -- it's Kobe Bryant. MJ made the statement in a video promoting the NBA 2K14 -- while talking about a bunch of NBA legends he would've liked to ball against in their prime, including Jerry West, D-Wade, Carmelo, Kobe, LeBron and more. "I don't think I would lose," Jordan says ... adding, "other than to Kobe Bryant because he steals all of my moves." MJ was later asked who was the better player -- Kobe or LBJ -- and explained, "In terms of dominance in the game of basketball at this stage, it's LeBron." But he added, "Championshipwise, it's Kobe.

LAMAR ODOM SAYS HE HAS BEEN SOBER FOR 5 DAYS NOW-LOL

                    
Lamar Odom says he's been sober for 5 days ... and he believes he can maintain sobriety WITHOUT going to rehab. Sources connected to the troubled BBaller tellS Media ... Lamar believes in what he calls "self-healing" and says he has the willpower to kick his drug habit on his own. Lamar says he's done it successfully before and is convinced he can do it again. Toward that end, he is telling people he is removing certain "friends" from his life ... so he doesn't relapse. Lamar says he's open to getting professional help, but only in private and not in a rehab facility. He has not yet committed to getting such help. Lamar is very mindful of the fact that training camp has just started. Although he wants to save his marriage to Khloe Kardashian, our sources say his motivation for sobriety seems to be more focused on his basketball career. Lamar believes once he's achieved a level of sobriety, he can re-join a team.