TAMASHA LA KISWAHILI JUMAPILI HII-MAMBO YAZIDI KUPAMBA MOTO,VINOGESHO NA MATAIFA MBALI MBALI YAZIDI KUTHIBITISHA KUHUDHURIA.(WASHINGTON DMV)


MAYOR WA MJI WA BLADENSBURG KUHUTUBIA, MABALOZI WA NCHI ZA AFRICA MASHARIKI WATAKUWEPO,FREE BOAT RIDE KUZUNGUKA MTO, MICHEZO YA WATOTO, UTAMADUNI WA AFRIKA MASHARIKI,VENDORS,CHAKULA CHA AFRIKA MASHARIKI KUTOKA SAFARI RESTAURANT DC, VINYWAJI BARIDI VYOTE VINAPATIKANA:
                                                    HAKUNA KIINGILIO NI BUREEE!

BLOG YA VIJIMAMBO YAKABIDHI MCHANGO WAKE WA KUSAIDIA KUPAMBANA NA UJANGILI KWA MHE. LAZARO NYALANDU

Baraka Daudi, Mwenyekiti wa Tamasha la Utalii na kukemea ujangili lililoadhimisha miaka 4 ya Blog ya Vijimambo akimkabidhi pesa tasilimu $1,000 kwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Lazaro Nyalandu kwa ajili ya kupambana na ujangili makabidhiano yaliyofanyika katika ofisi za Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani siku ya Jumatatu Sept 15, 2014
Mhe. Lazaro Nyalandu, Balozi Leberata Mulamula Afisa Ubalozi Suleiman Saleh (kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na Mwenyekiti wa Vijimambo Baraka Daudi na Mayor Mlima baada ya makabidhiano ya pesa ya kupambana na Ujangili