Tyrese Gibson Shaken to the Core Over Surprise Paul Walker Tribute in Dubai

FROM TMZ


1/8/2014 9:25 AM PST BY TMZ STAFF
010814_tyrese_launch
Tyrese Gibson nearly broke down today in Dubai ... after coming across an unexpected Paul Walker tribute that left him speechless ... and he just posted the extremely emotional footage online.

Warning: it's a real tear jerker.

As we reported, Tyrese -- who starred alongside Walker in the "Fast & Furious" movies -- has taken the actor's death extremely hard. A day after Walker died, Tyrese burst into pained tears at the crash site and has spoken at length ever since about the impact Paul has had on his life.

Walker was killed November 30th when the Porsche he was riding in skidded off the road at high speed and crashed into a tree.

1218_remembering_paul_walker_footer

NAY WA MITEGO NA SIWEMA UHUMBA WAO SASA WAYEYUKA


   Nay kwenye Video                             Siwema
 Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ na mpenzi wake anayefahamika kwa jina moja la Siwema UCHUMBA WAO  umedaiwa kuvunjika.

Kwa mujibu wa chanzo makini, chanzo cha kumwagana ni baada ya Siwema kukuta meseji za watoto wa kike tofauti katika simu ya Nay wa Mitego katika nyakati tofauti.
Chanzo hicho kimeeleza kuwa, wawili hao walimwagana tangu Januari 2, mwaka huu, nyumbani kwa Nay wa Mitego, Manzese jijini Dar es Salaam baada.
Kwa mujibu wa chanzo makini, chanzo cha kumwagana ni baada ya Siwema kukuta meseji za watoto wa kike tofauti katika simu ya Nay wa Mitego katika nyakati tofauti.
Chanzo hicho kimeeleza kuwa, wawili hao walimwagana tangu Januari 2, mwaka huu, nyumbani kwa Nay wa Mitego, Manzese jijini Dar es Salaam baada ya Siwema kujiridhisha kuwa mpenzi wake huyo anamsaliti kutokana na ushahidi wa meseji alizozifuma.


Hata hivyo, chanzo kilizidi kumwaga ‘ubuyu’ kuwa, wapendanao hao wamekuwa wakizinguana mara kwa mara na kilichomuuma zaidi Siwema ni baada ya mkali huyo kuachia video yake mpya ya Nakula Ujana ambayo ameonekana katika pozi za kimahaba na warembo kibao.
Baada ya kuipata Habari hii Swahili tv iliimtafuta Nay ilikuweza kujua ukweli lakini alipokea simu na alipoulizwa akajibu yuko studio ataturudishia simu bado tunaisubiri.

DJ Drama Signs New Major Deal

DJ Drama has joined the A&R staff at Atlantic Records. Drama, who is known for hosting tons of mixtapes, will now oversee recording projects, sign new talent, and contribute to the artist development process for existing talent on the Atlantic roster. According to Billboard, Drama’s newly established Mean Street Studios in ATL will become the studio base for Atlanta artist in the market.
In a statement announcing the new deal, Atlantic chairman/CEO Craig Kallman said, “One of the most accomplished DJs and mixtape masters, DJ Drama brings brilliant instincts and consummate skills to our A&R team. A hugely influential force in the hip-hop community, I know he’ll be a tremendous asset in signing and developing artists and making amazing records.” Drama added “My first two albums as an artist were on Atlantic. And I’m now looking forward to working with Craig and Julie [Atlantic chairman/COO Greenwald] in a new capacity, helping them break the label’s next crop of amazing talent.”

The-Dream Will Be Leaving Def Jam

One of Def Jam’s famed artist/producer has announced that he will be leaving the label. The Dream recently posted a picture of the infamous logo on Instagram with the caption “I will miss this logo. It all started here! Love Everything that I achieved there, EXODUS THE-DREAM #exodusthedream.”
Though it seems like it’s a clean break, Terius Nash seems positive about the future of his career without the well-known imprint that released five of his solo albums since the beginning of his career. The “Umbrella” producer also posted another Instagram photo of his previous 1977 mixtape saying, “Creativity! My own Time my own Way. Just me and spat my Engineer at the Time. No label at All! Perfect.”
We wish The Dream the best of luck on this new endeavor in his career!