TAMAR BRAXTON ASHIKA NAMBA MOJA KWENYE CHART YA BILLBOARD !

      
           Mdogo wake Tony Braxton huyu ameshika namba moja kwa mara ya kwanza kwenye Chart za R&B za Billboard baada ya kuachia album yake mpya wiki iliyopita.
           Mwanadada huyu ameolewa na Super Producer wa muziki hapa marekani hivyo ni hki yake akishika namba moja kwenye chart.Hii ni album yake ya pili itakumbukwa ile ya kwanza haikuwa na mafanikio kabisa.
Hongera Tamar Braxton!

ALICIA KEYZ.....AZIDI KUPENDEZA SUMMER HII!


                                                                            So beautiful Alicia

                   Picha hizi zilionekana kwenye Instagram..na zilikuwa na likes nyingi mnooooooooooo.

PICHA HIZI ZILIWEKWA NA MUMEWE SWIZZ BEATZ AKIMSIFIA MKE WAKE HUYO