YAMOTO BAND KUPIGA SHOW KWENYE TANZANIA NIGHT @ 54 NDANI YA WASHINGTON DMV JUMAMOSI DECEMBER 5 !!

                                                                         ** KIINGILIO** 
                                                       $ 30 - WATU 200 WA KWANZA 
                                                       $ 40 - BAADA YA WATU 200 KUTIMIA
                                              TUNAOMBA MUWAHI ILI SHOW IANZE MAPEMA

MWANA MUZIKI MAARUFU MARIAH CAREY AHAMIA KWA MCHUMBA BILLIONEA


Baada ya Kuachana na mumewe NIck Canon  Mariah Carey ameamua kuhamia moja kwa moja kwa mchumba wake mpya ambaye ni bilionea kutoka nchini Australia, James Packer.Habari tulizopata zinasema Carey alihamia mara baada tu ya sikukuu ya Halloween.Kwasasa inasemekana anafuraha kupita alivyokuwa na Nick !

FINALLY "RIHANA " AANZASHA KAMPUNI YAKE YA UREMBO -INAITWA FR8ME

NA  Hollywood Reporter- Rihanna ameanzisha kampuni ya Urembo inayotambulika kama Fr8me akishirikiana na meneja maarufu wa watu wenye vipaji Marekani Benoit Demouy, huku hadi sasa wakiwa wamekwisha wasaini baadhi ya wasanii kwenye kampuni hiyo.
Wasanii ambao wamekwisha sainiwa ni pamoja na Taraji P. Hensen, Jason Bolden, Patricia Morales, Evan Rachel Wood na Fergie.“Tuna bahati kubwa kupata wasanii bora katika kampuni hii,’ alisema Rihanna

PROMOTER MTANZANIA ANAYEISHI MAREKANI ASHINDA TUZO YA "BEST PROMOTER" MAREKANI


                                Ndugu Dickson anayefahamika kwa wengi kama  Mr "DMK "
Promoter "DMK" wa Kampuni ya DMK GLOBAL PROMOTIONS ashinda Tuzo ya Best Promoter USA katika zile tuzo za AFRICAN ENTERTAINMENT AWARDS USA 2015 ,Tuzo hizo zilitolewa OCTOBER 31 New York ambapo Makampuni 6 yalikuwa yakichuana kipengele hicho na DMK Global kuibuka kidedea,Pia katika Awards hizo Wasanii kutoka Tanzania Diamond alichukua Tuzo ya Hottest Male Single na Ommy Dimpoz tuzo ya People's Choice .
    Kampuni hii inafanya Shuguli zake Marekani za kuandaa Events mbali mbali za burudani kama CLUB EVENT,CONCERTS, CARNIVALS  ikiwa ni pamoja na kuleta wasanii Marekani kutoka Tanzania na Africa kwa ujumla,pia inafanya matamasha ya Burudani na wasanii wa Marekani pia.Baada ya Tuzo hizi Tulimpigia simu bwana DMK na kumpongeza kwa kuiwakilisha vyema Tanzania na East Africa kwa ujumla ambapo aliwashukuru sana waliompigia kura kote Duniani na kuongezea kuwa Tuzo hii ameipata yeye lakini angependa ijulikanekuwa shughuli hizi huwa anazifanya kwa kusaidiana na Partners wake kampuni za Safari Entertainment na J&P Ent ambazo amesema kuwa bila wao kushurikiana nao asingekuwa hapo alipo.
     Bwana DMK amesema tutegemee Mambo makubwa mengi kutoka kwake na Partners wake hivi Karibuni.

COMEDIAN MAALUFU BARANI AFRICA KUTOKA UGANDA "KANSIIME" KUWAVUNJA MBAVU WASHINGTON DMV " THANKS GIVING FRIDAY " NOV 27 !

HIVI KWANZA UNAANZAJE KUKOSA,HII ITAKUWA SOLD OUT 
NUNUA TICKET ZAKO ONLINE BADO MAPEMA AU PIGA SIMU NAMBA 3016616207