YAMOTO BAND KUPIGA SHOW KWENYE TANZANIA NIGHT @ 54 NDANI YA WASHINGTON DMV JUMAMOSI DECEMBER 5 !!

                                                                         ** KIINGILIO** 
                                                       $ 30 - WATU 200 WA KWANZA 
                                                       $ 40 - BAADA YA WATU 200 KUTIMIA
                                              TUNAOMBA MUWAHI ILI SHOW IANZE MAPEMA

MWANA MUZIKI MAARUFU MARIAH CAREY AHAMIA KWA MCHUMBA BILLIONEA


Baada ya Kuachana na mumewe NIck Canon  Mariah Carey ameamua kuhamia moja kwa moja kwa mchumba wake mpya ambaye ni bilionea kutoka nchini Australia, James Packer.Habari tulizopata zinasema Carey alihamia mara baada tu ya sikukuu ya Halloween.Kwasasa inasemekana anafuraha kupita alivyokuwa na Nick !

FINALLY "RIHANA " AANZASHA KAMPUNI YAKE YA UREMBO -INAITWA FR8ME

NA  Hollywood Reporter- Rihanna ameanzisha kampuni ya Urembo inayotambulika kama Fr8me akishirikiana na meneja maarufu wa watu wenye vipaji Marekani Benoit Demouy, huku hadi sasa wakiwa wamekwisha wasaini baadhi ya wasanii kwenye kampuni hiyo.
Wasanii ambao wamekwisha sainiwa ni pamoja na Taraji P. Hensen, Jason Bolden, Patricia Morales, Evan Rachel Wood na Fergie.“Tuna bahati kubwa kupata wasanii bora katika kampuni hii,’ alisema Rihanna

PROMOTER MTANZANIA ANAYEISHI MAREKANI ASHINDA TUZO YA "BEST PROMOTER" MAREKANI


                                Ndugu Dickson anayefahamika kwa wengi kama  Mr "DMK "
Promoter "DMK" wa Kampuni ya DMK GLOBAL PROMOTIONS ashinda Tuzo ya Best Promoter USA katika zile tuzo za AFRICAN ENTERTAINMENT AWARDS USA 2015 ,Tuzo hizo zilitolewa OCTOBER 31 New York ambapo Makampuni 6 yalikuwa yakichuana kipengele hicho na DMK Global kuibuka kidedea,Pia katika Awards hizo Wasanii kutoka Tanzania Diamond alichukua Tuzo ya Hottest Male Single na Ommy Dimpoz tuzo ya People's Choice .
    Kampuni hii inafanya Shuguli zake Marekani za kuandaa Events mbali mbali za burudani kama CLUB EVENT,CONCERTS, CARNIVALS  ikiwa ni pamoja na kuleta wasanii Marekani kutoka Tanzania na Africa kwa ujumla,pia inafanya matamasha ya Burudani na wasanii wa Marekani pia.Baada ya Tuzo hizi Tulimpigia simu bwana DMK na kumpongeza kwa kuiwakilisha vyema Tanzania na East Africa kwa ujumla ambapo aliwashukuru sana waliompigia kura kote Duniani na kuongezea kuwa Tuzo hii ameipata yeye lakini angependa ijulikanekuwa shughuli hizi huwa anazifanya kwa kusaidiana na Partners wake kampuni za Safari Entertainment na J&P Ent ambazo amesema kuwa bila wao kushurikiana nao asingekuwa hapo alipo.
     Bwana DMK amesema tutegemee Mambo makubwa mengi kutoka kwake na Partners wake hivi Karibuni.

COMEDIAN MAALUFU BARANI AFRICA KUTOKA UGANDA "KANSIIME" KUWAVUNJA MBAVU WASHINGTON DMV " THANKS GIVING FRIDAY " NOV 27 !

HIVI KWANZA UNAANZAJE KUKOSA,HII ITAKUWA SOLD OUT 
NUNUA TICKET ZAKO ONLINE BADO MAPEMA AU PIGA SIMU NAMBA 3016616207

DIAMOND PLATNUMZ, VANESSA MDEE NA OMMY DIMPOZ NDANI YA "CELEBRITY PARTY" HOUSTON TEXAS IJUMAA HII 0CT 9.

VANESSA  MDEE PERFORMING LIVE
                                                      DIAMOND  PLATNUMZ - HOST
                                                         OMMY DIMPOZ -HOST
KWA MARA YA KWANZA NDANI YA MAREKANI " 3 SUPERSTARS IN ONE NIGHT                                                                      #HOUSTON TEXAS ONLY !


SWAHILI FESTIVAL SEPTEMBER 20 WASHINGTON DMV.


OSCAR PISTORIUS KUACHIWA IJUMAA

Mwanariadha Oscar Pistorius.
AP_oscar_pistorius_reeva_steenkamp_jt_140302_16x9_992
Oscar Pistorius akiwa na mpenzi wake Reeva Steenkamp.
oscar-pistorius-800Oscar Pistorius akiwa mahakamani wakati wa kesi yake.
Mwanariadha mahiri wa nchini Afrika Kusini, Oscar Pistorius anatarajiwa kuachiwa Ijumaa hii baada ya kuonyesha tabia nzuri akiwa gerezani. Pistorius alihukumiwa kifungo cha…

ALI KIBA NA NEYO...USO KWA USO


King Kiba kutoka Tanzania, anaye nyimbo kama “Mwana” na “Chekecha Cheketua” akutana na mwanamuziki kutoka amerikani: NE-YO, anayefahamika kama mwanamuziki na mwandikaji wa muziki bora kama “Let me love you,” “Sexy Love” and “She Knows”. 

Hao wawili walikutana Nairobi katika Coke Studio Africa. Alikiba ni baadhi ya wanamuziki watano: Wangechi (Kenya), Dama Do Bling (Mozambique), Ice Prince (Nigeria) na Maurice Kirya (Uganda) pamoja na Alikiba. Wawili hao, pamoja na wenzao, walizugumzia muziki wa Afrika na pia kurecord nyimbo mpya.

King Kiba yuko Nairobi na anatarajiwa kufanya wimbo na hao wanamuziki katika format mpya ya Coke Studio Africa season 3, itakayozinduliwa mnamo Oktoba mwaka huu. Alikiba yuko Coke Studio Africa kwa mara ya kwanza msimu huu. Ashashirikiana na Victoria Kimani (Kenya na Tanzania) katika nyimbo za mash-up.

P SQUARE LIVE IN WASHINGTON DC ..JUMAMOSI YA SEPT 5 .....NUNUA TICKET YAKO MAPEMA !!


AISHA YAZINDULIWA KWA KISHINDO WILAYANI PANGANI

1- moja
Filamu iliyopewa jina la AISHA imezunduliwa rasmi siku ijumaa ya tarehe 31/7/2015 wilayani Pangani chini ya shirika lisilo la kiserikali la UZIKWASA.
Aisha ni filamu ya tatu katika mfululizo wa filamu za UZIKWASA zikiangazia aina mbali mbali za unyanyasaji wa kijinsia kwa wanawake na watoto wa kike. Filamu hizi ni ni sehemu mojawapo tu ya njia za mawasiliano katika kampeni shirikishi-jamii ya mabadiliko ya tabia inayofahamika kama 'BANJA BASI'!, Pangani, Tanga.
Kabla ya filamu ya Aisha iliyozinduliwa kwa kishindo hivi karibuni, shirika la UZIKWASA tayari limeshatengeneza filamu nyenigne mbili ambazo ni FIMBO YA BABA na CHUKUA PIPI, wengi wa waigizaji waliomo ni wasanii wa vijijini.

THE INTRODUCTION OF - IBRAHIM MAX

Musician,Singer,Clothing Designer ,These are some of the many Talents from Maryland's resident Tanzanian born Ibrahim Max .In the coming weeks we will be showcasing all of his Ventures one by one from His Clothing Line to his latest Single.This article serves as the Introductions to the Man of So many Talents known as IBRAHIM MAX 

ALI KIBA NA ABDU KIBA WALIVYOWARUSHA WASHINGTON DC..WAKISINDIKIZWA NA AJ UBAO !

ALI KIBA NA MBWEMBWE ZAKE SASA
ALI KIBA NA ABDU KIBA WAKIWARUSHA







                                                     JE UNAWAJUA HAWA
    ABDU KIBA ....ALI KIBA..NA PROMOTA "DMK GLOBAL " KABLA YA SHOW KUANZA





                                                        WADAU NDANI YA VIP





                     SUNDAY SHOMAY AKIW BACK STAGE NA THE KIBA SQUARED





                                                                     MAMBO YA VIP
                                                                           MAMBO YA VIP


 

              MWANAMUZIKI AISHIYE WASHINGTON "AJ UBAO " ALIFUNGUA SHOW


                                         PROMOTA DMK NA MWANAMUZIKI AJ UBAO


                                                             PROMOTA J&P








WAANDAAJI "DMK GLOBAL