JUSTINE TIMBERLAKE AND ROBINTHICKE TO PERFORM FOR PHARELL WEDDING PARTY!

              
    Imethibitishwa kuwa Robin Thicke na Justine Timberlake ndio watakao tumbuiza kwenye sherehe za Harusi ya Producer Maarufu Pharel Williams.Sherehe hizo zitafanyika Miami ambapo zitakuwa nisherehe tu kwani Harusi ilifungwa kimya kimya mwezi August huko France.
   Pharell amemua Model na Designer maarufu Helen Lasichanah ambaye pia ni baby mama wake.Pharell ni producer maarufu aliyefanya kazi na wanamuziki mbalimbali kama Jay Z,Kanye,Beyonce,Madona na wengine wengi hivyo tutegemee guest list ya Mastaa karibu wote.