EXCLUSIVE INTERVIEW -OMMY DIMPOZ ALONGA NA AYO TV DAKIKA CHACHE BAADA YA KUTUA BONGO !

Ommy Dimpoz alizungumzia kuhusu Mapokezi yake yalivyo kuwa,Jinsi Show zake zilivyo kuwa ikiwa ni pamoja na tofauti ya malipo kati ya show za nyumbani na za nje,Pia Brand yake ya nguo ya "PKP"
Hapa Dimpoz akiwa Washington DC akielekea Airport akionyesha Brand yake ya "PKP"
Hapa Dimpoz Akiwa Ndani ya Business Class akielekea Bongo
Baada ya kufika TZ angalia jinsi Kofia zake zilivyopata Fans kwa kasi
Hizi ni baadhi tu ya Kofia..kwa Kuoda Mpigie Mubenga !

Sikiliza Interview yake aliyo fanya na Millard Ayo wa AyoTV