DANCER WA DIAMOND "MOSES IYOBO" AFUNGUKA -ASEMA MIMBA YA BABY WAKE STAR WA FILAMU AUNTY EZEKIEL NI FARAJA KWAKE!


MOSES IYOBO nambari one Dancer wa  Nasibu Abdul  ‘Diamond’ amefunguka kuwa hakuna kitu kinachompa faraja kubwa kama mimba ya mpenzi wake ambaye ni staa wa filamu Bongo, Aunty  Ezekiel.
Mimi tu nikiwaza mtu ambaye ninampenda kwa dhati ana mimba yangu napata faraja kubwa sana hivyo kila siku namuomba Mungu ajifungue salama na ampitishe katika majaribu mazito,” alisema Iyobo.