MR AFRICA..APATIKANA JIJINI LONDON !


                MR AFRICA WINNER JAYDON ANDERSON KUTOKA BOTSWANA


                   Hawa ni Baadhi ya washinriki wakiwa wamevalia mavazi yao mbali mbali



 Katika Mashindano hayo mshindi wa Pili alikuwa ni Mr Gabon ndugu  Williams na nafasi ya tatu ilishikwa
na Mr Ghana ndugu Guiseppe Nkansah.
Je ni lini Mr Tanzania ataingia kwenye mashindano na kuingia Top Ten?