SWAHILI TV PAPO KWA HAPO NA BALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI "MULAMULA"


Na Swahili TV
Mhe. Balozi Liberata Mulamula ametoa kauli ya kuwaunganisha watanzania wote, amesema kamwe hatoruhusu tofauti na makundi katika jamii za kitanzania. Ameyazungumza hayo katika papo kwa hapo ya Swahili TV.