KANUMBA-RATIBA YA MAZISHI-JUMANNE YA TAREHE 10

                               
                                         STEVEN KANUMBA- 1984-2012
Mwili wa marehemu unatarajiwa kuagwa siku ya jumanne tarehe 10 April, katika Jiji la Dar-es-salaam..mahali atakapozikwa bado haijajulikana kwani anasubiriwa Mama wa Marehemu ambaye anatokea SHINYANGA...akifika ndo hataamua...Endelea Kuangalia blog yetu kwani tutawajulisha pindi tutakapopata Habari.