OMMY DIMPOZ AFANYA VIDEO NA SUPER MODEL SOFIA SK WA JIJINI LONDON


 Mwanamuziki Mahiri kutoka Tanzania ambaye kwa sasa yuko London anashoot Video ya wimbo wake mpya,Akizungumza na Swahili Media Group amesema kuwa anayofuraha kuweza kufanya kazi na Supermodel anayetikisa jiji la London.Alipoulizwa na Mwandishi wetu je imekuwaje akaweza kumpata model huyo Dimpoz alitabasamu nakusema Siri yake na pia akasema Model huyo ni fan wake mkubwa pia
kwani anapenda sana miziki ya Dimpoz ingawa Kiswahili hajui.Dimpoz amewaomba wapenzi wake wakae mkao wakula kwani video hiyo itakuwa ni balaa.

                OMMY DIMPOZ NA SOFIA SKVORTSOVA KATIKA VIDEO SHOOT