SAIDA KAROLI ASEMA..HANA MPANGO WAKUFA BADO!!

Baada ya taarifa kuzushwa kuwa Saida Karoli amefariki katika ajali ya meli habari za uhakika ni kuwa Saida Karoli wala hayuko mahala popote jirani na Ziwa  Victoria. Baada ya kuweko Dar es Salaam wiki iliyopita, Saida na kundi lake walikodishwa na kuelekea Makongorosi Chunya mahala aliko mpaka asubuhi hii. Saida Karoli anasema hana mpango wowote wa kufa KARIBUNI. 
MUNGU AMUONGEZEE SIKU NYINGI ZENYE FARAJA KATIKA MAISHA YAKE
            "habari kutoka sanaa na wasanii tanzania"