DIAMOND PLATNUMZ AFANYA MAKAMUZI YA NGUVU KANSAS CITY, MISSOURI NCHINI MAREKANI

Diamond Platnumz prezda wa wasafi akifanya makamuzi Kansas City siku ya Jumapili July 6, 2014 katika kukamulisha sherehe za uhuru wa Marekani  onesha lake likihudhuriwa na mashabiki wa Afrika Mashariki wakiwemo wazawa kibao waliojitokeza kumuunga mkono.
Diamond Platnumz akiendelea na makamuzi ndani huku akiwa amezungukwa na mashabiki wa Kansas City na wenggine wakiwa wamesafiri kutoka majimbo ya jirani.
Mashabiki wa Diamond Platnumz wakicheza pamoja nae wakati prezda wa wasafi akiendelea kufanya makamuzi ya nguvu ndani ya Kansas City, Missouri.
Diamond Platnumz akiendelea kufanya makamuzi ya nguvu ndani ya Kansas City MO mashabiki wengine wakipata picha mbili tatu na wengine wakiwa wanarekodi video.
Prezda na madansa wake wakiendelea kulishambulia jukwaa Kansas City.
Mashabiki wa Diamond wakiwa wamechanganyikiwa Prezda mwenyewe akiendelea na makamuzi ya nguvu.
Mashabiki kama unavyoona kwenye picha wakitaka japo wamguse prezda wa wasafi kwenye show yake ya Kansas City aliyofanya siku ya Jumapili July 6, 2014 na kuhudhuriwa na mashabiki kila kona ya Missouri na Kansas na wengine wakiwa wamekuja toka majimbo mengine ya jirani
Mashabiki wa Diamond Platnumz wakiendelea kupagawa. Kwa picha zaidi bofya HAPA

DIAMOND PLATNUMZ ATINGA MDANI YA STUDIO ZA GENN ONLINE RADIO

Mashabiki wa Diamond Platnumz wakipata nae picha ya pamoja na Rais huyo wa Wasafi alipokuwa akiwasili kwenye mji wa Olathe jimbo la Kansas ilipo Radio hiyo ya GENN kwa mahajiano kabla ya show yake inayotarajiwa kufanyika muda si mrefu katika anuani ya 8625 Troost Ave, Kansas City, Missouri.
Mtangazaji wa GENN Radio AJ (mwenye kofia nyeusi wapili toka kulia) akimfanyia mahojiano Diamond Platnumz ndani ya Studio ya Radio hiyo ambayo inapatikana mtandaoni www.gennmedia.com wengine ni Dj Romy Jons Poromota DMK na Dj Bston (kulia) 

ANOTHER HIT FROM DIAMOND..NEW "MDOGOMDOGO

BRAND NEW FROM DIAMOND " BUM BUM"

DIAMOND LIVE IN KANSAS CITY- JULY 4TH WEEKEND -THE EAST AFRICAN MIDWEST EXPERIENCE AT THE MAJESTIC SOUTH TOWN PAVILION

                            

DIAMOND PLATNUMZ BET RED CARPET AND BEHIND THE SCENE !

Diamond Platnumz akipita kwenye Red Carpet ya BET mbele ya Mapaparazi zaidi ya 200,Mwanamuziki huyu alionekana kuwavutia watu wengi na Suit yake iliyokuwa imemkaa kisawasawa ambayo waingereza wanasema  "Well Tailored Suit" By Designer Sheria Ngowi .
Mapaparazi zaidi ya 200 walichukua every step and moments za Red Carpet wakati Diamond akipita
Mwanamuziki Nelly alitushangaza pale alipomvuta koti Diamond kwa nyuma na kumwta kwa Jina,Tulishangaa sana kuona kumbe wanamuziki wa Marekani nao wanafatilia habari za African Nominees.
Hapa Diamond aligeuka nakukuta aliye mvuta koti ni Nelly ambaye alimwambia congratulations.
Ndani kwenye Award show Diamond na USA Manager wake  Bwana DMK wakipata Ukodaki

BOW WOW KUBADILISHA JINA BAADA YA BET AWARDS!

After 20 years, Bow Wow is dropping his stage in preference of his real name Shad Moss. The 106 & Park host has to decided to retire the name that launched his rap career to fit his grown up image
The 27-year-old announced via Instagram, “After BET awards I will no longer go by Bow Wow! I’m going by my real name ‘Shad Moss’ we made a lot of history as bow wow. Now its time for the next chapter and challenge.”
The name change slated to take effect June 29, is part Moss’ growth. “Bow wow doesn’t fit who I am today’” he explained. “Ima father business man, TV host, Actor and rapper! Time for MR Moss to take over!”


RAPPER NAS- HIS DAUGHTER IS NOW GROWN CELEBRATES 20TH BIRTHDAY

     It seems just like yesterday, Destiny Jones was a lil baby! She’s all grown up now and partying it up with the best of them, and this past week, celebrated her birthday on Father’s Day with her proud PaPa.
Check out pics here.



TAMASHA LA UZALENDO NA UZINDUZI WA WIMBO WA MIAKA 50 YA MUUNGANO-DODOMA LEO HIII!


                                            OMMY DIMPOZ & DIAMOND

                         SHILOLE NA MPENZI WAKE NUHU MZIWANDA

 MAMBO YA SELFIE DJ FETTY ,DIAMOND NA MARTIN KADINDA

                                   AFANDE SELE NA OMMY DIMPOZ KWA POZ