OMMY DIMPOZ ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI NA KUKUTANA NA BALOZI MAMA MULAMULA NA MAOFISA UBALOZI!

    Mwanamuziki Ommy Dimpoz akitia Signature kitabu cha wageni Ubalozi wa Tanzania Washington dc

Ommy Dimpoz akiwa na Mheshimiwa Balozi Mulamula na Promoter wake DMK ambaye pia ni Mkurugenzi wa MMK Media Group kampuni inayomiliki Swahili Radio online,Swahili Tv online,Swahilitv blog,na DMK411 blog
Mheshimiwa Balozi katika Poz na Poz kwa Poz 
Dimpoz katika Picha ya Pamoja na Maafusa wa Ubalozi wa Tanzania washington dc
Afisa Habari wa Ubalozi Mindy Kasiga Akimpa Historia fupi Mwanamuziki huyo ya Mabarozi mbali mbali waliopita kabla ya Mheshimiwa Mulamula.
Tangu uhusiano wa Tanzania na Marekani kuanzishwa ni mabalozi 15 tayari wamekwisha litumikia taifa akiwemo balozi wa sasa.
Dimpoz aliitumia Fulsa hii Vyema kuongea na Balozi na Maafisa wa Ubalozi kuhusu Changamoto mbalimbali zinazowakabili vijana wa kitanzania ikiwa ni pamoja na matatizo yanayowakabili wasanii ikiwa ni pamoja na maharamia wa kazi za wasanii ambapo Mheshimiwa Balozi alihaidi kusaidia kulitafutia ufumbuzi napia kusaidia uwezekano wa kurahisisha upatikanaji wa muziki wa Tanzania kupitia mitandao kama ya i tune na Amazon.
Mbali na Mabo ya Kazi Dimpoz pia aliwafurahisha Maafisa wa Ubalozi kwa Stori mbali mbali za maisha yake.

TANZANIA HOUSE (UBALOZI WA TANZANIA MAREKANI)

MICHAEL JORDAN I'D DESTROY LEBRON IN 1-ON-1 ...BUT NOT KOBE BRYANT !

1001_jordan-lebron_kobe-02
Michael Jordan says there's only one guy who would beat him in a game of 1-on-1 ... and it ain't LeBron James -- it's Kobe Bryant. MJ made the statement in a video promoting the NBA 2K14 -- while talking about a bunch of NBA legends he would've liked to ball against in their prime, including Jerry West, D-Wade, Carmelo, Kobe, LeBron and more. "I don't think I would lose," Jordan says ... adding, "other than to Kobe Bryant because he steals all of my moves." MJ was later asked who was the better player -- Kobe or LBJ -- and explained, "In terms of dominance in the game of basketball at this stage, it's LeBron." But he added, "Championshipwise, it's Kobe.

LAMAR ODOM SAYS HE HAS BEEN SOBER FOR 5 DAYS NOW-LOL

                    
Lamar Odom says he's been sober for 5 days ... and he believes he can maintain sobriety WITHOUT going to rehab. Sources connected to the troubled BBaller tellS Media ... Lamar believes in what he calls "self-healing" and says he has the willpower to kick his drug habit on his own. Lamar says he's done it successfully before and is convinced he can do it again. Toward that end, he is telling people he is removing certain "friends" from his life ... so he doesn't relapse. Lamar says he's open to getting professional help, but only in private and not in a rehab facility. He has not yet committed to getting such help. Lamar is very mindful of the fact that training camp has just started. Although he wants to save his marriage to Khloe Kardashian, our sources say his motivation for sobriety seems to be more focused on his basketball career. Lamar believes once he's achieved a level of sobriety, he can re-join a team.

DESIGNER MAARUFU MISS TEMEKE AMWANDALIA DINNER YA NGUVU "OMMY DIMPOZ" NYUMBANI KWAKE !


  Ommy Dimpoz akiwa Nyumbani kwa  Mr and Mrs Matope (Familia ya Miss Temeke) akipata Dinner
Nyumbani kwa Miss Temeke ambapo Dimpoz aliharikwa akiwa pamoja na Promoter wake na Wageni wengine waalikwa.Dinner hiyo ilihudhuriwa na watu wa karibu wa Miss Temeke ambao walifurahia dinner pia kupata fulsa ya kuchat one on one na Superstar huyo.

              Ommy Dimpoz akiwa na Mr Matope mume wa Miss Temeke wakipata Dinner

                         Familia ya Mr Matope katika picha ya pamoja na Dimpoz


NAI NAI USA TOUR PART 1 KUMALIZIKA JUMAMOSI HII NDANI YA LOS ANGELES IKIWASHIRIKISHA WANAMUZIKI KUTOKA UGANDA NA CONGO


                               COVER $ 20       VIP $300  VVIP $500
                    FOLKS THIS IS IT " THE LAST SHOW OF NAI NAI USA TOUR PART 1.

CLUB #1 YA KIMAREKANI YAMKARIBISHA OMMY DIMPOZ KUFANYA APPEARANCE LEO USIKU !!


KAMA HUKUPATA KUMUONA AKIWA KWENYE SHOW WASHINGTON DC..OMMY DIMPOZ ATAFANYA APPEARANCE NDANI YA CLUB MAARUFU NAMBARI ONE YA WASHINGTON DC..."LUX LOUNGE" ILIYOPO NEW YORK AVENUE,IJUMAA HII  KABLA YAKUPANDA NDEGE KUELEKEA HOUSTON JUMAMOSI ALFAJIRI KWA AJILI YA SHOW YA HOUSTON JUMAMOSI USIKU.MWALIKO HUO UMEFANYWA NA MMILIKI WA CLUB HIYO YA KIMAREKANI BAADA YA MWANAE KUHUDHURIA SHOW YA OMMY DIMPOZ YA WASHINGTON DC NA KUCHENGUKA NA MIONDOKO YAKE YA "TUPOGO"
WASHINGTON KAZI KWENU KWA MARA NYINGINE TENA.

DIMPOZ USO KWA USO NA FAN WAKE MKUBWA KATIKATI YA JIJI LA NEW YORK

                       OMMY DIMPOZ USO KWA USO NA FANS WAKE KATIKATI YA JIJI LA NY
POZ KWA POZ KATIKA POZ NA FANS WAKE
                                                         KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

Rumors: Trina Pregnant?

trina
I swear to you. I got this rumor the other day and I thought it was complete BS! Then yesterday happened! For those that don’t know, Trina was hospitalized for exhaustion and dehydration yesterday. Now, days before this happened, I was alerted to a rumor that Trina was pregnant. People have no idea the rumors I get but toss out. People don’t know! I do my best to try to discard silly rumors (even though I admit a lot of silliness does make it to the page). But, after Trina was hospitalized for NOT getting shot or something crazy, it made me think that maybe she IS pregnant and there’s some truth to the rumor. Fatigue is one of the symptoms of pregnancy along with a bunch of there stuff.