CCM YEW YORK INAWAKARIBISHA WATANZANIA WOTE KWENYE BASHHHH LA MIAKA 38 YA CCM...TEGA SIKIO KWA HABARI ZA NANI KUTUMBUIZA FEB 21 !

AUNTY EZEKIEL ACHUKIZWA NA UAMUZI WA KING MAJUTO !!

    
WAKATI mkongwe wa filamu za kuchekesha, King Majuto akidai kutoshiriki kazi na msanii yeyote kutokana na kuibiwa, msanii mwenzake, Aunty Ezekiel amechukizwa na uamuzi huo.
Akizungumza na Uwazi, Aunty alisema kuwa haamini kama wezi wa kazi zake ndiyo chanzo cha Majuto kuachana na filamu za kushirikishwa bali inawezekana kuna tatizo lake lingine.

MWALIKO WA NGUVU KUTOKA CCM NEW YORK KUSHEHEREKEA MIAKA 38 TANGU KUZALIWA CCM !

YAMOTO BAND LIVE KWA MARA YA KWANZA KWENYE JIJI LA LONDON { Made in East Africa }

 
 Confirmed...21Feb2015..Yamoto! Yamoto! Yamoto Band Live in the UK For the first Time Ever...When we Say Live, we mean 

Live with Full Band & Dancers...
This is one show that's not to be Missed... Sponsored by @officialjestinageorgeblog @bongodeejays@zuriihouseofbeauty

 Zurii House of Beauty CEO akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wasanii wa yamoto band Maromboso na Aslay  baada ya makubaliano ya kuwadhamini band hiyo kuja  kufanya show yao jijini London @maromboso @aslayisihaka
 Zurii House of Beauty CEO akiwa kwenye picha ya pamoja na mameneja wa yamoto band
 It's gonna be bigger and better! UK & Europe people Save the Date. Their Live Performance is a must see..If you love live music
Make sure you get your tickets mapemaaaa...Hili ni Bonge la show kuwahi kutokea na watoto wameahidi kuweka historia


NEW YORK NEW YORK FEB 21 "THE BIGGEST BIRTHDAY PARTY TO START THE YEAR -ALL INVITED !


DIAMOND ASHINDA TUZO YA BEST AFRICAN ENTERTAINER ..NIYA 14 NDANI YA MWAKA 2014 PEKEE

Promoter  " DMK " Baada ya kuipokea Tuzo Hiyo ya IRAWMA kwa niaba ya Diamond .



Diamond hakuweza kufika kwenye tuzo hizo zilizofanyikia Florida kwa mwaka huu kutokana na tarehe kugongana na shughuli zake za kazi.Diamond ameweza kujishindia tuzo 14 mwaka huu pekee ikiwa ni pamoja na Tuzo 7 za Kilimanjaro Award na 7 za kimataifa.Bwana "DMK" amepokea Tuzo hiyo  kwa niaba ya Msanii Diamond na kwasasa Tuzo hiyo iko Njiani Kuelekea Tanzania.Mungu azidi kumjalia afya Njema Mwanamuziki huyo kwani anaipeperusha Vyema Bendera ya Tanzania.

DIAMOND PLATNUMZ ALIVYOWACHENGUA WASHINGTON DC SHEREHE ZA UHURU DEC 6 ..OFFICIAL PHOTOS

   Promota DMK na Ligate wakiwekana sawa na Diamond na Madansa wake Kabla ya Kwenda Ukumbini Kuanza Show
                               Promota DMK Global na Diamond Wakigonga It's a Go Time.
                          Safari ya Kuelekea ukumbini sasa ikaanza wakiongozwa na Bwana Innocent
                                     Bwana Inno,Phanuel na DMK wakipata ukodaki kabla ya kuingia
                                                       Final Words na Bwana DMK
                                         Nenda Kamwambiae....Kazi ndo sasa Inaanza
                                                                               WCB


MARRY XMAS EVE NDANI YA SAFARI RESTAURANT WASHINGTON DC KWA PUNGUZO LA ASILIMIA 20%.

SAFARI RESTAURANT WASHINGTON DC
Tunapenda Kuwatakia Xmas Njema Wateja wetu wote,leo Jumatano Usiku wa kuhamkia Xmas tunatoa punguzo la asilimia 20% kwa kila ENTREE ili kuwezesha watu wote kuikaribisha Xmas ndani ya Safari Restaurant Washington DC,
  TUNAFUNGUA KUANZIA 5PM-11PM,NA SIKU YA ALHAMISI TUTAFUNGA ili Kuwawezesha wafanyakazi wetu Kusheherekea XMas pamoja na Familia Zao.
 ADDRESS ni 4306 Georgia Avenue,NW,Washington,DC,20011,KARIBUNI.