AUNTY EZEKIEL ACHUKIZWA NA UAMUZI WA KING MAJUTO !!

WAKATI mkongwe wa filamu za kuchekesha, King Majuto akidai kutoshiriki kazi na msanii yeyote kutokana na kuibiwa, msanii mwenzake, Aunty Ezekiel amechukizwa na uamuzi huo.
Akizungumza na Uwazi, Aunty alisema kuwa haamini kama wezi wa kazi zake ndiyo chanzo cha Majuto kuachana na filamu za kushirikishwa bali inawezekana kuna tatizo lake lingine.
YAMOTO BAND LIVE KWA MARA YA KWANZA KWENYE JIJI LA LONDON { Made in East Africa }
Confirmed...21Feb2015..Yamoto! Yamoto! Yamoto Band Live in the UK For the first Time Ever...When we Say Live, we mean
Live with Full Band & Dancers...
This is one show that's not to be Missed... Sponsored by @officialjestinageorgeblog @bongodeejays@zuriihouseofbeauty
Zurii House of Beauty CEO akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wasanii wa yamoto band Maromboso na Aslay baada ya makubaliano ya kuwadhamini band hiyo kuja kufanya show yao jijini London @maromboso @aslayisihaka
Zurii House of Beauty CEO akiwa kwenye picha ya pamoja na mameneja wa yamoto band
It's gonna be bigger and better! UK & Europe people Save the Date. Their Live Performance is a must see..If you love live music
Make sure you get your tickets mapemaaaa...Hili ni Bonge la show kuwahi kutokea na watoto wameahidi kuweka historia
DIAMOND ASHINDA TUZO YA BEST AFRICAN ENTERTAINER ..NIYA 14 NDANI YA MWAKA 2014 PEKEE
Promoter " DMK " Baada ya kuipokea Tuzo Hiyo ya IRAWMA kwa niaba ya Diamond .
Diamond hakuweza kufika kwenye tuzo hizo zilizofanyikia Florida kwa mwaka huu kutokana na tarehe kugongana na shughuli zake za kazi.Diamond ameweza kujishindia tuzo 14 mwaka huu pekee ikiwa ni pamoja na Tuzo 7 za Kilimanjaro Award na 7 za kimataifa.Bwana "DMK" amepokea Tuzo hiyo kwa niaba ya Msanii Diamond na kwasasa Tuzo hiyo iko Njiani Kuelekea Tanzania.Mungu azidi kumjalia afya Njema Mwanamuziki huyo kwani anaipeperusha Vyema Bendera ya Tanzania.
DIAMOND PLATNUMZ ALIVYOWACHENGUA WASHINGTON DC SHEREHE ZA UHURU DEC 6 ..OFFICIAL PHOTOS
Promota DMK na Ligate wakiwekana sawa na Diamond na Madansa wake Kabla ya Kwenda Ukumbini Kuanza Show
Promota DMK Global na Diamond Wakigonga It's a Go Time.
Safari ya Kuelekea ukumbini sasa ikaanza wakiongozwa na Bwana Innocent
Bwana Inno,Phanuel na DMK wakipata ukodaki kabla ya kuingia
Final Words na Bwana DMK
Nenda Kamwambiae....Kazi ndo sasa Inaanza
WCB
Promota DMK Global na Diamond Wakigonga It's a Go Time.
Safari ya Kuelekea ukumbini sasa ikaanza wakiongozwa na Bwana Innocent
Bwana Inno,Phanuel na DMK wakipata ukodaki kabla ya kuingia
Final Words na Bwana DMK
Nenda Kamwambiae....Kazi ndo sasa Inaanza
WCB
MARRY XMAS EVE NDANI YA SAFARI RESTAURANT WASHINGTON DC KWA PUNGUZO LA ASILIMIA 20%.

Tunapenda Kuwatakia Xmas Njema Wateja wetu wote,leo Jumatano Usiku wa kuhamkia Xmas tunatoa punguzo la asilimia 20% kwa kila ENTREE ili kuwezesha watu wote kuikaribisha Xmas ndani ya Safari Restaurant Washington DC,
TUNAFUNGUA KUANZIA 5PM-11PM,NA SIKU YA ALHAMISI TUTAFUNGA ili Kuwawezesha wafanyakazi wetu Kusheherekea XMas pamoja na Familia Zao.
ADDRESS ni 4306 Georgia Avenue,NW,Washington,DC,20011,KARIBUNI.
Subscribe to:
Posts (Atom)











