MWIMBAJI WA INJILI MILKA KAKETE ATEMBELEA VOA

010Mwimbaji wa nyimbo za Injili Milka Kakete kutoka Canada alipotembelea idhaa ya Kiswahili ya Sauti ya Amerika akiwa Sunday Shomari na mkuu wa idhaa hiyo Mwamoyo Hamza mwishoni mwa juma. 013Milka Kakete na mume wake Bw.Kakete na mkuu wa idhaa ya Kiswahili Mwamoyo Hamza ndani ya studioz alipofanya ziara na mahojiano na idhaa hiyo mwishoni mwa juma. Mwanamuziki huyo alitembelea jijini Washington Dc kwa tamasha maalum la X-Mass katika kanisa la Bethel Kingdom.

REDDS MISS TANZANIA 2013 AWAFARIJI WATOTO YATIMA


Redds Miss Tanzania 2013 Happiness Watimanywa ( kushoto) akipinga hodi ikiwa ni ishara ya kukaribishwa katika Kituo cha kuleta watoto yatima Mgolole cha Masista wa Moyo Safi wa Maria wa Morogoro , ambapo alifuatana na warembo wengine wawili, Miss Tanzania mshindi wa tano, Elizabeth Perrty, na Sabra Islam Miss Morogoro 2013, wazazi wake na Viongozi wa juu wa Kamati ya Miss Tanzania na kupokelewa na Mama Mkuu wa Kituo hicho, Sista Flora Maria Chuma ( mwenye kutabasamu ) Desemba 25, mwaka huu walipotembelea kwa ajili ya kutoa zawadi ya vyakula vya aina mbalimbali ikiwa ni mpango wake wa kusaidia makundi ya aina hiyo.
Redds Miss Tanzania 2013 Happiness Watimanywa ( kulia) akimkabidhi kopo la maziwa Mama Mkuu wa Kituo cha kuleta watoto yatima Mgolole cha Masista wa Moyo Safi wa Maria wa Morogoro ,Sista Flora Maria Chuma ( kushoto) Desemba 25, mwaka huu walipotembelea kutoa zawadi ya vyakula vya aina mbalimbali kwa Kituo hicho ikiwa ni mpango wa kusaidia makundi ya aina hiyo akiambatana na warembo wengine wawili, Miss Tanzania mshindi wa tano, Elizabeth Perty, na Sabra Islam Miss Morogoro 2013, wazazi wake na Viongozi wa juu wa Kamati ya Miss Tanzania.
Redds Miss Tanzania 2013 Happiness Watimanywa ( kushoto) akiwa amempataka mikononi mtoto yatima Happiness, akiwa na warembo wengine wawili, Miss Tanzania mshindi wa tano, Elizabeth Perrty, ( kulia) na mwezake Sabra Islam Miss Morogoro 2013, na Viongozi wa juu wa Kamati ya Miss Tanzania, akiwemo Mkurugenzi Hashim Lundega, wakisikiliza maelezo ya Mama Mkuu wa wa Kituo cha kuleta watoto yatima Mgolole cha Masista wa Moyo Safi wa Maria wa Morogoro ,Sista Flora Maria Chuma ( hayupo pichani ) ,Desemba 25, mwaka huu walipotembelea na kutoa zawadi ya vyakula vya aina mbalimbali kwa Kituo hicho siku ya sikukuu ya Christimas ikiwa ni mpango wake wa kusaidia makundi ya aina hiyo.
Redds Miss Tanzania 2013 Happiness Watimanywa ( kushoto) akiwa amempataka mikononi mtoto yatima Happiness, alipoteembelea Kituo cha kuleta watoto yatima Mgolole cha Masista wa Moyo Safi wa Maria wa Morogoro , Desemba 25, mwaka huu walipotembelea na kutoa zawadi ya vyakula vya aina mbalimbali kwa Kituo hicho siku ya sikukuu ya Christimas ikiwa ni mpango wake wa kusaidia makundi ya aina hiyo, pia alifuatana na warembo wengine wawili, Miss Tanzania mshindi wa tano, Elizabeth Perrty, na Sabra Islam Miss Morogoro 2013, wazazi wake na Viongozi wa juu wa Kamati ya Miss Tanzania .
Redds Miss Tanzania 2013 Happiness Watimanywa ( kushoto) akiwa na warembo wengine wawili, Miss Tanzania mshindi wa tano, Elizabeth Perty, na Sabra Islam Miss Morogoro 2013, wazazi wake na Viongozi wa juu wa Kamati ya Miss Tanzania, wakisikiliza maelezo kutoka kwa Mama Mkuu wa wa Kituo cha kuleta watoto yatima Mgolole cha Masista wa Moyo Safi wa Maria wa Morogoro ,Sista Flora Maria Chuma ( kulia) Desemba 25, mwaka huu , walipotembelea na kutoa zawadi ya vyakula vya aina mbalimbali kwa Kituo hicho ikiwa ni mpango wake wa kusaidia makundi ya aina hiyo.
Redds Miss Tanzania 2013 Happiness Watimanywa akisaini kitabu cha wageni.
Redds Miss Tanzania 2013 Happiness Watimanywa akigawa zawadi za vyakula vya aina mbalimbali kwa baadhi ya watoto yatima wanaolelewa na Kituo cha Mgolole cha Masista wa Moyo Safi wa Maria wa Morogoro , Desemba 25, mwaka huu ikiwa ni sehemu ya kusaidia watoto wa aina hiyo , akiwa ameambatana na warembo wengine wawili, Miss Tanzania mshindi wa tano, Elizabeth Perty, na Sabra Islam Miss Morogoro 2013, wazazi wake pamoja na Kamati ya Miss Tanzania.
Picha na John Nditi.

MARRY X-MAS


FROM US TO YOU OUR READERS,MAY GOD CONTINUE TO BLESS YOUR AND YOUR FAMILY,THANK YOU FOR BEING A PART OF OUR FAMILY,BECAUSE WITHOUT YOU WE ARE NOTHING.

BEYONCE DRUNK IN LOVE.......HOT

TYGA..BRAND NEW VIDEO "WORD'

DIAMOND..AZIDI KUWAPENDA WATOTO WASIO JIWEZA.


Diamond alisema kuwa ameamua kufanya hivyo kwasababu video yake ya kwanza aliizindua mbele ya watu waalikwa pale Serena,na sasa ameamua kuwapa heshima watoto hawa wasio na uwezo ambao ni mashabiki wakubwa lakini hawana uwezo wa kuhudhlia matamasha yake.



Diamond pia atafanya Show ya bure siku ya X-mas pale viwanja vya Leaders mchana kwa ajili ya watoto hao kabla ya kupanda ndege kuelekea mwanza kwenye show usiku huhu wa X-mas.
Mungu akuzidishie....Merry X-mas.

Kijiwe cha ughaibuni

Jay Z Launches Comador Cigars

Jay Z Cigar
If there’s one thing that JAY Z enjoys, it’s a good cigar. So it comes as no surprise that the hip-hop mogul is expanding his empire yet again to include tobacco products.
The Brooklyn, N.Y., native has teamed up with Dominican cigar company Cohiba to create the Cohiba Comador — a cigar that blends “leaves from the most revered Caribbean and Central American growing regions.” The product took two years to develop.
The cigars come in three sets. Comador Humidor ($999) includes a “striking, pebbled leather humidor,” a smaller travel case and 21 cigars. The Comodor Travel Humidor ($350) comes with seven cigars in a case that’s lined with “fragrant Spanish cedar to protect the flavor,” while the Comador Toro Box ($210) also contains seven cigars in a matte box that features the brand’s signature crest. 
Sasa huyo ndio Jay The business man..the Unstoppable. 

STEVE HARVEY IS A FREE MAN..ALL THE CHILD ABUSE CHARGE DROPPED!

                  
Comedian Steve Harvey has been cleared of child abuse allegations after he was accused of hitting his 11-year-old son.

The star's ex-wife, Mary Harvey, and their son claimed the funnyman had brutally beaten the young boy for lying about schoolwork, after his body appeared to be covered in bruises and cuts.
After cops referred the case to the Texas Department of Family and Protective Services, it was decided that the child was at no risk and the case against Harvey has since been closed.
Harvey's representative told TMZ that family services officials decided, "Based on the information obtained, the child does not appear to be at risk... the case is closed without further investigation."
However, in a strange turn of events, the comedian's second wife was charged with contempt of court on Thursday for leaking sealed information about the alleged incident to the media, and has been sentenced to 30 days behind bars.
Harvey, 56, was married to Mary from 1996 to 2005, but the union ended amid allegations of his infidelity with Marjorie Bridges, who he wed in 2007.

BEYONCE KEEPS SURPRISING FANS

beyonce walmart 3 500x350
beyonce walmart 2 500x381
Although stores like Amazon and Target have refused to sell copies of her number 1 album, she is going all out to please those retailers who are supporting her. Yesterday, she made an unannounced visit to a Walmart store in Tewksbury, Massachusetts around 7 pm and surprised the shoppers.
After picking some stuff including copies of her own CD, Bey went on the mic desk and announced that every shopper in store would receive a $50 Walmart gift card from the singer. A total of 750 cards worth $37,500 were gifted to the lucky ones.
beyonce walmart 1 500x347