SWAHILI RADIO ONLINE SASA NDIYO HABARI YA MJINI -IKITANGAZA TOKA WASHINGTON DC!

                                             
     KAMPUNI YA  SWAHILI MEDIA INTERNATIONAL (MMK) Inapenda kuwatangazia kwamba,
Baada ya Kutokuwa hewani kwa Zaidi ya siku 13 kwa sababu za kiufundi na marekebisho ya System zetu,Sasa tumerudi hewani full speed,tukiwa na program zetu zote mzipendazo pamoja na nyingine nyingi zinakuja.
     Lengo letu ni kuielimisha na kuiburudisha jamii kupitia katika njia ya mtandao kwani kama mnavyojua Online Radio is the Future and Swahili Radio online Imejidhatiti kuzikonga nyoyo zenu na pia msisite kutoa maoni yenu ili tuweze kuiboresha radio yenu zaidi kwani lengo letu ni kuifanya Swahili Radio kuwa "The Number One International Online Radio !
    Unaweza tusikiliza kwenye Simu zote za mkononi na Desk top Computer kupitia APP ya TUNE IN.Dowload Tune In App katika simu yako alafu Tafuta Swahili Radio,Ukiona hii Logo hapo juu Ndiyo habari ya Mjini.
         "SWAHILI RADIO CONNECTING THE WORLD 6 CONTINENT AT A TIME "

FORMER BASKETBALL STAR JAYSON WILLIAMS SUED BY EX WIFE..SHE SAYS HE IS DANGEROUS TO THE KIDS.


Jayson Williams has threatened to KILL another person ... so says his estranged wife, who claims the ex-NBA star went on a violent tirade in front of their two young daughters, who now fear for their lives. 

Swahili Sports  has seen the official documents filed in California by Tanya Williams ... who's seeking child support and health insurance for the couple's two daughters (ages 11 and 9) now that Jayson's out of prison for the killing of his limo driver back in 2002.  

But in the documents, Tanya says Jayson is still as violent as ever ... writing:

"Recently, Jayson's actions put my daughters in fear for their lives including punching a ceiling screaming, 'I want to kill someone.'"

There's more ... Tanya claims Jayson also yelled at their 9-year-old daughter that he "quit being her dad" and he "never wanted to see them again."

Tanya says the children are "severely traumatized and beginning therapy."

It's unclear how much cash Tanya is hoping to get in monthly child support -- but she lists Jayson's gross monthly income at $15,000. 

Not bad for a guy who hasn't played in the NBA since 1999. 

A rep for Jayson had no comment...Kazi hipo hapa

Kanye West I DON'T HATE DRAKE ... Even Though I Hate Nike !!

1206-kanye-drake-nike-tmz
He may hate Nike's guts, but Kanye West says he's got NO BEEF with Drake for signing a deal with the shoe giant -- in fact, he's downright happy for the guy, DMK has learned 

Sources close to Yeezus tell us ... Kanye is still real upset with the Swoosh for refusing to give him royalties for a shoe line. But we're told when he found out about Drake's new partnership with Nike for his own special OVO Air Jordans, Kanye was proud. 

As one source put it, "Kanye will always be happy with rappers taking steps in the fashion world."

USIKU WA UHURU DMV


Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknologia Mhe. Januari Makamba akiongozana na mkewe Ramona Makamba  wakiwasili ukumbini na kulakiwa na Kaimu Balozi wa Tanzania nchinii Marekani na Mexico Afisa Paul Mwafongo akiwemo Dj Luke wakati walipokuwa wakiingia ukumbini Laurel, Maryland kwenye sherehe ya Uhuru wa Tanzania Bara iliyofanyika Jumamosi Dec 7, 2013 na kuhudhuriwa na umati wa wakazi wa DMV wakiwemo marafiki zao kutoka majimbo ya jirani.
Mhe, January Makamba akiwapa wanaDMV salamu toka Tanzania na kuwaelezea mstakabali mzima wa nchi yetu na kusema miaka 52 kwa binadamu ni mingi lakini kwa nchi bado ni michache aliezezea pia upande wa mawasialiano unavyokuwa kwa kasi na jinsi alivyofarijika kuja kukutana na Watanzania wa DMV na kusema yeye ni muumini mkubwa wa raia pacha kwani anaamini Mtanzania wa Ughaibuni ananafasi kubwa ya kuchangia maendeleo ya nchi yake. Leo Mhe. January Makamba atakutana na WanaDMV Mirage Hall kuanzia saa 11 jioni.
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti na Utawala wa Umma Bwn, Georgr Yambesi akielezea mfuko wa pensheni wa PSPF na kuendelea kuelezea faida zake na kwamba sasa mfuko huu umeundwa kutumiwa na hata Watanzania waishio ughaibuni. Leo pia wataongea na Watanzania DMV Mirage Hall Langley Park kuanzia saa 11 kamili.
Dj Luke akiwashukuru watu wote waliofika wakiwemo ujumbe toka Tanzania na Mhe. January Makamba kwa niaba yake biafsi pamoja na waandaaji wengine wa sherehe hii Baraka Daudi na Dj Seif.
Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV akiongea machache na kutoa salamu za Uhuru kwa wanaDMV.
Afisa wa Ubalozi wa Tanzania nchi Marekani Mindi Kasiga akielezea wasifu wa Mhe. January Makamba.

Mshereheshaji Tuma akipendezesha usiku wa Uhuru.

Mgeni rasmi Mhe, January Makamba akishirikiana na Dj Luke kukata keki ya Uhuru.
Meza kuu wakisimama kwa kumkumbuka Nelson Mandela na kwa wimbo wa Taifa.
Mshindi wa tatu wa Miss Tanzania USA Pageant, Faith Kashaa kutoka Alabama akiimba wimbo wa Taifa.
Watanzania wakimshangilia Faith Kashaa baada ya kumaliza kuimba wimbo wa Taifa.

RAPPER ICE T'S WIFE IS TAKING PORN BUSINESS BY STORM!!


                                                           ICE T AND HIS WIFE COCO
Rap icon Ice-T's video vixen wife, Coco Austin, has reportedly decided to take her career into uncharted territory by venturing into adult entertainment. According to reports, Austin will release her own line of x-rated toys next month.
Coco -- Ice-T's wife -- is breaking into the toy business ... the sex toy business ... and SWAHILI has learned she's gunning to penetrate the marketplace by January. Coco's rep tells TMZ ... Coco has teamed up with Cal Exotics, the world's largest sex toy company -- and plans to announce her own line of X-rated items in January.
We're told, "The toys will reflect Coco's personality and will include massagers, vibrators, and more!" "The toys are for solo and couples play. Coco is involved with the entire process, from packaging to the promotional strategy." She's like Santa Claus ... for adults. 
Austin made headlines earlier this year after appearing on a broadcast of talk show "The Real" to speak on her physical appearance and butt implant rumors.
"Like I said, I was a tomboy and I started noticing I could get a lot out of people at a certain date," she recalls.
"I was like, 18, (and thought) wait a second, I can work with these curves. But I really kind of hide my hips. I hated my hips. Now, I flaunt it. I was always flaunting my boobs. I loved my boobs. I bought them at 18. I loved them," Coco said. "I was taking away from the hip area. I was covering it up and it wasn't till I got with my husband, Ice. He's the one, I give him credit for me being me to this day because he's the one who's like, 'You have something to work with, work it.
It's unique.'" She also shut down rumors of "booty implants" by allowing all of the ladies to touch her backside, all of which led into an impromptu discussion on the twerking phase. Coco, who thinks it's just another name for "booty shaking," put her skills on display, instructing everyone that it all starts in the lower back. 
From TMZ Newz

Top 10 most bizarre Kanye West self-comparisons – including Willy Wonka, Barack Obama, Michael Jackson, Steve Jobs and God…

Top 10 most bizarre Kanye West self-comparisons
It is no secret that Kanye West has a high opinion of himself, a very high opinion of himself.
But the bonkers rapper is Bound 2 perplex fans with his latest self-comparison.
Mr Kim Kardashian has likened himself to Roald Dahl’s legendary character Willy Wonka, claiming: ‘I’m trying to get as close to a dream state as possible.’
While the majority of the world might think he made a Freudian slip when he called himself a ‘Wonka’, we take a look at some other the bizarre people he has likened himself to for a new Top 10.
10 – Beethoven
In a 2012 interview, ‘Nye compared himself to the genius German composer. ‘I am flawed as a human being… but my music is perfect,’ he declared, adding: ‘You could go back to Beethoven and s***, but as far as this lifetime, though, this is all you got.’ Modest, but at least they are both musicians.
9 – Jay Z
‘Jay Z is more realised than me,’ West said in

Ja Rule denies leaving his wife for his prison cell mate

Ja Rule denies leaving wife for prison cell mate
Rapper Ja Rule has been forced to rubbish claims that he left his wife for his prison cell mate.
Combating one of the more bizarre rumours of the week, the 37-year-old tackled ‘false lies’ allegedly started by his own spouse, Aisha Atkins, when a website quoted her dropping the bombshell on MTV show Married Life After Prison.
‘He wrote all them love songs and still don’t know how to treat a b***h,’ Atkins was quoted saying in her opening statement on the show.
‘We spent ten-plus years building our marriage but it only took him two to decide he’d rather suck a d*** than be with his wife.’
The Thug Lovin’ rapper was released from prison earlier this year after spending two years locked up for a gun charge, but allegedly shipped out of home straight after.
‘He returned home alright – to get his s*** and leave,’ Atkins exclaimed after allegedly claiming she discovered her husband of 12 years was leaving her for not only a man but his prison cell mate.
But the New Yorker – real name Jeffrey Atkins – has slammed the rumours and the website featuring the quotes, writing on Twitter: ‘OK I guess I have to address the idiots these rumors are FALSE LIES made up by some non mf factor website CLOWNS lmao…’
He then retweeted one of his followers who wrote: ‘rumors are started by haters•spread by fools & believed by idiots #vroom” #Rns’.

BEYONCE ON VACATION....WHAT NOT TO LOVE HUH!!!




Mama Blue Ivy akionyesha kuwa bado wamo hata baada ya kuzaa


Wosia kwa wakina dada..inawezekana kuwa fit hata baada ya kujifungua,msitafute sababu.

PHOTO OF THE DAY-BLUE IVY CARTER.....KID SWAGGISHHH


                                                                 She got the Swagg from her dad

Cassie "Spotted" Rocking Her Huge Engagement Ring From Diddy.....BUT When is the Wedding???

               
Cassie "Spotted" Rocking Her Huge Engagement Ring From Diddy At Art Basel In Miami,Now Every one is asking when is the Wedding? Is P Diddy really ready to settle down?..Stay tuned the world is watching.