P SQUARE WAFANYA KUFURU KATIKA JUMBA LAO LA KIFAHARI LA SQUAREVILLE KULE NIGERIA-DHAHABU TUPU!


 Paul and Peter mapacha wa P Square..wakiwa katika Sebure ya nyumba yao..the definition of amazing


                      Peter akiwa amepoz kwa poz ndani ya Squareville living room huko Nigeria

                              Paul mdogo wake Peter......katikati ya sebure yao

 Na hapa ndio kwenye ile Dining room yao.....ama kweli pesa sabuni ya roho..
na Mwandishi wetu DMK

KIPINDI MAALUMU KUTOKA SWAHILI TV-MAZISHI YA BI MARTHA SHANI NCHINI TANZANIA!

MWANA FA ALONGA NA VIJIMAMBO


Mwanamuziki wa kizazi kipya anaefanya vizuri kwenye tasnia hiyo ya Bongo Flava, Mwana FA leo Jumatatu Novemba 18, 2013 alonga na Vijimambo aelezea historia yake kwa ufupi na kwanini yupo Marekani je yeye ni mfuasi wa Freemason? Je anamchumba? na kama anaye mchumba wake ni nani na lini wataaowa? kati ya Ali Kiba na Diamond nani anamkubali na mengene mengi MSIKILIZE

Rumors: Trouble With Jay and Bey?

What in Sam Hill is going on? There are new rumors suggesting that something is going awry with Bey and Jay. Could their relationship be in jeopardy? So-called “insiders” say so! I certainly don’t know but I always think its BS, because I think they will hold it down. But, the rumors from over there at Star is saying that Beyonce feels Jay is too selfish and refuses to take on the typical fatherly duties with Blue Ivy.
Seems like they are doing something called a “trial separation.”
Here is the low down dirty rumor:
According to Star magazine, while Beyonce, 32, stopped in Australia for her Mrs. Carter World Tour, Jay Z, 43, accompanied her on a 3-day mini vacation to a private resort, but apparently it wasn’t all fun and love.
“Jay Z’s early November trip to Australia was not just a family getaway, it was a last-ditch effort to keep his marriage afloat,” a source told Star magazine. “Jay Z’s decision to tour Europe at the same time as Beyonce is touring Australia has caused serious damage to their relationship – damage that may be ultimately prove to be irreparable.”
Beyonce & Jay Z to Skip Kim Kardashian & Kanye West’s 2014 Wedding?
The source added that when Jay toured with Justin Timberlake over the summer, he didn’t take time out of his busy schedule to spend more time with his wife and daughter, instead her opted out to party with friends.
“Not only did he plan the tour without consulting her at all, but he didn’t even try to coordinate dates with her tour. She told him he was selfish,” the insider says. “Beyonce has been feeling like a single mother lately – and has been letting her husband know he’s on shaky ground, and she’s using the time they spend apart as a trial separation.”
Beyonce put this picture up a few days ago!
Blue Ivy, Jay Z
                 Je kuna ukweli ndani yake??????????????.

OMMY DIMPOZ,VANESSA MDEE NA JOKATE WATAJWA KUWANIA TUZO ZA SWAHILI FASHION WEEK !

                            
             Jokate,Irene Wolper na Dimpoz katika picha wakati wa Swahili launch
                            
                            
                                                             Picha kwa hisani ya Bongo5

ILE VIDEO MPYA YA RIHANNA INAYOKIMBIZA KWA SASA!

DIAMOND APOST KWENYE INSTAGRAM YAKE BEHIND THE SCENE PHOTO YA VIDEO SHOOT YA REMIZ YA MY NUMBER ONE!



           diamond2
Diamond aliandika hii caption , “Naamini ipo siku nasi Tanzania tutasimama vyema katika ramani hii ya muziki worldwide na kuipa sifa na heshima zaidi East Africa yetu. Eeeh Mwenyezi Mungu ibariki Tanzani, ibariki East Africa na Africa yetu kwa ujumla. #LastNight #Onset #NumberOneRemix#DiamondFtDavido #ClarencePeterBehindTheCamera
Kwa mara ya kwanza Diamond amekuwa ndiye msanii wa kwanza kufanya Video na Dorector maarufu wa Nigeria ambaye amefanya video za wasanii wakali wa africa kama P Square na wengine wengi.
Big Up brodaaaaaaaaa!

TOP 20 YA MJ FM ARUSHA-RICH MAVOKO AMKIMBUIZA DIAMOND KILELENI!


Hii ndiyo chart yetu Mambo Jambo Radio 93.0 FM kwa wiki hii ambapo kama inavyonekana kwenye picha hapo kwa wiki hii ngoma ya Ric Mavocco ROHO YANGU imeibwaga ngoma ya Diamond NUMBER ONE na kuichukua nafasi ya kwanza.

Kupigia kura ngoma yoyote ili ipande au iingie kwenye Chart yetu hii Unatuma ujumbe Mfupi ukianza na herufi KWT unaacha nafasi unaandika jina lako kisha andika jina la wimbo unaoupendekeza na utume ujumbe wako kwenda namba 15678
KWA MAELEZO ZAIDI TEMBELEA UKRASA WA MJ FM ARUSHA FACEBOOK HAPA >>https://www.facebook.com/MamboJamboRadio930Arusha

HISTORIA FUPI YA MAREHEMU MARTHA SHANI!

Na Mary Mgawe wa VOA

MISA YA KUMUAGA BI MARTHA SHANI NI LEO-WASHINGTON DMV!

MISA YA KUMUOMBEA NA KUMUAGA MAREHEMU ITAFANYIKA LEO TAREHE 27 OCTOBER  GREENBELT LUTHERAN  CHURCH

ADDRESS NI
10110 GREENBELT ROAD
LANHAM.MD.20706

MISA ITAANZA SAA NANE MCHANA HADI SAA KUMI JIONI,ITAFUATIWA NA CHAKULA CHA JIONI PAMOJA NA FAMILIA YA MAREHEMU .