MAENDELEO YA MSIBA WA "BI MARTHA SHANI" WASHINGTON DMV !

                                                   KWA WATANZANIA WOTE

Marehemu Martha Shani ( 1976- 2013 )
Marehemu Bi Martha akiwa na Mumewe Alex pamoja na Watoto wao Jose na Chris

NDUGU WATANZANIA BADO TUNAHITAJI MSAADA WENU WA HALI NA MALI ILI KUWEZESHA KUSAFIRISHA MWILI WA MPENDWA MKE WAKE ALIYEFARIKI GHAFLA SIKU YA JUMAMOSI OCT 19, 2013. KUTOA NI MOYO NA CHOCHOTE UTAKACHOWEZA KITASAIDIA NA HATIMAE KUWEZESHA SAFARI HII NDEFU YA KUMPELEKA MAREHEMU KATIKA MAPUMZIKO KWENYE NYUMBA YAKE YA MILELE TANZANIA
TUNGEPENDA KUWAJULISHA KUWA JUMUIYA YA WATANZANIA (DMV) IMEPATA PUNGUZO LA GHARAMA (DISCOUNT) ZA  KUMSAFIRISHA MAREHEMU NA FAMILIA YAKE AMBAPO KWA SASA KIASI KINACHOHITAJIKA NI $ 16,500

FEDHA ZILIZOPATIKANA HADI SASA  NI $7,420
BADO TUNAHITAJI $ 9,080

TAFADHALI TUMA RAMBI RAMBI ZAKO KUPITIA ACCOUNT IFUATAYO :-
# 446030759150 BANK OF AMERICA,MD
ROUTING # 052001633
MAJINA KWENYE ACCOUNT NI ALEX KASSUWI & FAITH ISINGO

CHEKI ZINAWEZWA ANDIKWA KWA ALEX KASSUWI AU FAITH ISINGO.

PIA UNAWEZA KUTOA RAMBIRAMBI ZAKO KWA KUFIKA NYUMBANI KWA MAREHEMU AMBAKO NDIKO MSIBA UPO
ADDRESS NI 
482 ARWELL CT
FREDERICK, MD,21703

AU WAWEZA WASILIANA NA MMOJA YA WANAKAMATI HAPO CHINI NA KUMUELEKEZA UPO WAPI ILI AWEZE KUKUSANYA MCHANGO WAKO 

Tino Malinda -240-565-7133
Dickson Mkama - 301-661-6207
Mariam Mtunguja - 240-422-1852
Quizella Ntagazwa - 240-602-5011
MV Mtunguja- 240-593-0575
Victor Marwa - 240-515-6436

Faith Isingo - 240-705-1055
Julius Manase-240-393-8445
UKISOMA UJUMBE HUU TAFADHALI MTAARIFU NA MWENZIO, WAJIBU HUU NI WETU SOTE NA KWA PAMOJA TUNAWEZA
HAKUNA KIDOGO PALIPO NA NIA. NA HAKUNA KIKUBWA PALIPO NA UMOJA.

RIHANNA GOT KICKED OUT IN ARAB FOR TAKING PICS INFRONT OF THE MOSQUE !


BREAKING NEWS KANYE WEST AND KIM ARE ENGAGED !

It appears Kim Kardashian got a very special birthday present on Monday night.According to our source Kanye proposed to Kim at a private party held at San Francisco’s AT&T Ball Park, which is home to the San Francisco Giants. Kanye rented out the entire stadium, and popped the question in front of the couple’s family and friends, where Kim joyfully said yes. However, before this all went down, Kanye had kept things classy and asked Kris Jenner for her daughter's hand in marriage. 
Having secured the permission from Kris, Kanye then got down on one knee and proposed to Kim with a flawless 15-carat diamond ring by celebrity jeweler Lorraine Schwartz. Then the field's jumbo screen flashed the sign, "PLEEEASE MARRY MEEE!!!" as a 50-piece orchestra played Lana Del Rey's "Young and Beautiful," followed by Keri hilson,Neyo and Kanye's "Knock You Down".
The night was then topped off with fireworks and roman candles exploding into the night sky, setting quite the mood for one heck of a birthday present for Kim, who turned 33 today.
The couple have been dating for a couple years and have a daughter together named North.
Congratulations to Kanye and Kim!

P.DIDY'S TELEVISION REVOLTD STARTED WITH A BANG !



REVOLT is the new #1 name in music. Launching in October 2013 on Comcast's Xfinity TV and Time Warner Cable, the multi-genre, multi-platform music network delivers music news in real-time, and the best of the best in music programming. A "social by design" network built to play at the speed of social media, REVOLT is live, direct, and always on - anytime, anywhere, any screen.
Presented by multifaceted, entertainment powerhouse Sean "Diddy" Combs, REVOLT is led by an executive team of award-winning, media veterans that include Keith Clinkscales (ESPN, VIBE Magazine), Andy Schuon (Ticketmaster, Warner Brothers, MTV) as well as Val Boreland (Comedy Central, Lifetime Television). REVOLT is owned by Combs Enterprises.


TANGAZO LA MSIBA WASHINGTON-DMV


                                                         MAREHEMU- MARTHA SHANI
NDUGU ALEX KASSUWI WA FREDERICK MARYLAND ANASIKITIKA KUTANGAZA KIFO CHA MKE WAKE BI MARTHA SHANI KILICHO TOKEA GHAFLA LEO TAREHE 19 OCT 2013 SAA 11 JIONI KATIKA HOSPITALI YA FREDERICK MEMORIAL.
KAMA ILIVYO DESTURI YETU TUNAOMBA NDUGU JAMAA NA MARAFIKI TUJUMUIKE NA FAMILIA YA MAREHEMU KATIKA WAKATI HUU MGUMU. TARATIBU ZOTE ZA MSIBA ZITAFUATIA BAADAE.
MSIBA UPO NYUMBANI KWA BWANA ALEX KASSUWI FREDERICK, MD.

                                                           ADDRESS NI-
                                                           482 ARWELL CT
                                                           FREDERICK, MD,21703

                     BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA JINA LAKE LIHIMIDIWE.

                                    KWA MAELEZO PIGA NAMBA ZIFUATAZO

MARIAM MTUNGUJA - 240-422-1852
MV MTUNGUJA - 240-593-0575
VICTOR MARWA - 240-515-6436
AUGUSTINO MALINDA -240-565-7133
JULIUS MANASE -240-393-8445
DICKSON MKAMA - 301-661-6207
QUIZELLA NTAGAZWA - 240-602-5011
FAITH ISINGO - 240-705-1055

"TUPOGO" YA OMMY DIMPOZ YAENDELEA KUSHIKA NAFASI YA KWANZA KWENYE CHAT YA MUZIKI TANZANIA KWA WEEK YA 3 MFULULIZO !




                   CHINI NI VYANZO VINAVYOTUMIKA KUPATA MATOKEO YA CHART HII
                                                                                         
                                   
Marimba Music Chart Tanzania huandaliwa na Bongo 5 kila week ambapo huchukua vyanzo mbali mbali na kuweza kupata ni Muziki gani unashika nafasi ya kwanza na kuendelea kama ilivyo kwenye Billboard Music Chart.
   Wimbo mpya wa Ommy Dimpoz wa TUPOGO aliouimba na mwanamuziki kutoka Nigeria JMartin umendelea kukaa kileleni kwenye chart hiyo kwa week ya tatu mfululizo huku Wimbo wa Diamond MY NUMBER ONE ukiendelea kushika nafasi ya Pili kwa weeke ya tau nfululizo.Inaonekana bado hakuna wimbo unaopendwa sana Tanzania kwa sasa wakuweza kuipiku TUPOGO YA OMMY DIMPOZ "PKP"
                                                     

HEMEDI AJA NA VIDEO YA KIBAO CHAKE KIPYA-JE WEWE UNAIONAJE?



 Mimi kwa maoni yangu naonaVideo ni nzuri Ila ingependeza sana Kama Mr Blue angekuwemo kwenye Video kwani Verse yake ameua!!

MASTER P WIFE FILED FOR DIVORCE !!!

The couple has 4 minor children -- she wants full custody. They also have famous adult son, Romeo.
Sonya wants spousal support. This one's a little weird. Back in 2011, Sonya went to court to get child support. At the time we thought they were already divorced, but now we learn no one ever pulled the trigger and filed divorce documents. So she did it now, but we're told they've been separated for a long time.

MAKALIO YA KIM KARDASHIAN YAONGEZEKA NDANI YA WEEK MOJA!


                                   Week iliyopita yalionekana namna hii..juu na chini


                                                      Hivi ndivyo alivyoonekana week hii.
   Mastaa wa Marekani kweli wana mambo.Week iliyopita Kim alionekana akimpeleka mtoto wake Lunch katika Restaurant moja Hollywood na Umbo lake la nyuma lilikuwa dogo.Lakini Week moja baadaye jana Kim aliweka Picha hii kwenye Instagram yake akionyesha Jinsi alivyo umbika.Sasa swali ambalo limekuwa gumzo ni kwamba inawezekanaje Kim week iliyopita alikuwa na Makalio madogo alafu week hii yameongezeka?Je yale makalio makubwa sikuzote huwa sio ya kwake??
    Na inaonekana kweli kuwa Yameongezeka ndio maana hata yeye mwenyewe kayapenda hadi kuwawekea washabiki wake Picha ili wayaone.
   Hayo nidyo maisha ya Hollywood Celeb!!!

SWAHILI MEDIA GROUP USA (MMK)-TUMETIMIZA SIKU TISINI !

TUMETIMIZA SIKU TISINI



Sasa tunafikisha miezi mitatu tangu tuanzishe rasmi TV ,Blog na Radio online, kwa binadamu ni siku chache maana hata kutambaa atakuwa bado, kwa chombo cha habari  itategemea na uanzishwaji na wadau wake wanachukuliaje.

Kwa upande wetu tunachukulia bado tunakuwa, hivyo  tunamshukuru Mungu na wadau wetu  kwa siku hizi chache ambazo tumekuwa  hewani.

"Ni Jambo la kujivunia kwamba mmethubutu", tunanukuu maneno ya Waziri mkuu mstaafu mheshimiwa Edward Lowassa, aliyotueleza tulipofanya mahojiano naye hapa mjini Washington DC.  Tunaipokea kauli yake kwa unyenyekevu mkubwa na kama changamoto Kwetu sisi,wamiliki na wafanyakazi wote wa Swahili.

Ukubwa na nguvu ya chombo chochote cha habari unatokana na wadau ambao ndio wasikilizaji na wasomaji wake, nasi tunafurahia sana ushirikiano ambao Tumekuwa tukiupata kutoka kwenu nyinyi wadau wetu, tunapenda kusema hili kwa kudhamiria wasomaji na wasikilizaji wa Swahili Kwetu sisi nyinyi ni familia.

Tunapenda kuweka wazi kuwa bila ushirikiano wenu tusingeweza kufanya haya tunayoyafanya, licha ya muda huu mfupi tumeweza kufanikiwa kusogeza radio yako kwa karibu zaidi kwani sasa unaweza kusikiliza Swahili Radio kwenye simu yako ya kiganja (cell phone).

Katika kipindi hiki pia tumekuwa tukiwasiliana na wadau wetu ambao ni DCTV ili watukubalie show zetu tunazozalisha Kwao tuweze kuzionyesha kwenye online na pia Radio yetu iwe inasikika kwenye radio za kawaida hapa Marekani na Tanzania, tuko kwenye hatua za mwisho za kufanikisha hayo. Pia mikataba mbalimbali imeshafanywa ili kuanzia Novemba mpate vipindi mbalimbali na kwa muda maalum.

Tunawashukuru pia washiriki wetu VOA, BBC na Radio Umoja wa mataifa kwa  kushirikiana nasi na kukubali Swahili kurusha matangazo yao, hivyo kuanzia mwezi Novemba wadau wetu mtaweza kupata taarifa  za habari na vipindi mbalimbali kutoa katika radio hizo za kimataifa kupitia Swahili mtandaoni na kwenye simu za viganja.

Katika wingi kuna mengi,unapokuwa kwenye kusanyiko lolote lile kukwaruzana kupo, nasi kwa kutambua hilo, tunajua kuna sehemu nyingine tumekwaruza, tunapenda kusema samahani pale tulipokwaruza mtu au watu, kama waumgwana tunarudia kusema samahani na wale waliotukwaruza tumewasamehe, tunapofikisha siku  hizi tisini, Mbiu yetu ni "tufungue ukurasa mpya kwa maendeleo ya wote".
Tunakaribisha maoni na ushauri wenu, kama tulivyosema awali, nguvu yetu ni nyinyi wadau wetu, hiki ni chombo chenu, tunaahidi kuwa jicho, sikio na mdomo wa jamii, bila woga tutaripoti kwa nia ya kuhabarihisha, elimisha na kuburudisha lakini hatutotekwa na kiburi wala majivuno au woga, tunaahidi kuwa chombo huru cha habari lakini kinachojali maadili.

Pia tunakaribisha mtu yeyote anayependa kutoa ushauri au  kuhabarihisha ajisikie huru kuwasiliana nasi kwa email ya swahilimediausa@gmail.com, nasi tunaahidi kuwasiliana naye au kufanyia kazi ushauri wake au kupokea habari yake.
Kila siku ya ijumaa Swahili Blog itakuwa inatoa TAHARIRI.