WAJUE WALIMU WA KISWAHILI WASHINGTON DMV!


Mwalimu Mkuu wa darasa la Kiswahili. Mwl. Mkumbuka akipata picha ya pamoja na Mwl. Iris Zielske mara baada ya kusaini mikataba ya kufundisha watoto wa Kitanzania kwenye darasa la Kiswahili, DMV pale College Park, Maryland mapema wiki iliyopita.
               
Walimu  wa darasa la Kiswahili wakipata picha ya pamoja katika maandalizi ya kufunguliwa kwa darasa la Kiswahili, darasa lianaoratibiwa na Jumuiya ya Watanzania hapa DMV. Kutoka kushoto ni Mwalimu Bernadeta Kaiza, Mwl. Iris  Zielske,   Mkuu, Lucia Mkumbukwa, na Mwl Asteria Hyera. Darasa yatafunguliwa siku ya Jumamosi Oct. 19, 2013, saa tisa (3:00pm) pale University of Maryland, College  Park. Walimu Asha Nyang'anyi na Mama Anna Mukami (hawapo pichani) hawakuhudhuria mkutano huo.

Wakiwa na nyuso za furaha ni walimu wa darasa la Kiswahili hapa DMV mara baada ya mkutano wao ulioweka mikakati ya namna ya kuliendesha darasa hilo kwa ufanisi. Kutoka kushoto ni Mwalimu Mkuu, Lucia Mkumbukwa, Mwl. Bernadeta Kaiza, Mwl. Asteria Hyera na Mwl. Iris  Zielske ambaye ni mwalimu mpya kabisa  aliyejiunga na madarsa ya Kiswahili mwezi huu. 

OMMY DIMPOZ AITIKISA DAR LIVE AKISHIRIKIANA NA JOH MAKINI NA WENGINE WENGI!


             Mashabiki walipagawa huku wakimvuta kila mtu akitaka kumgusa gusa tu.

                          Washabiki wakiitaka Miwani aliyokuwa amevaa Dimpoz

              Mwamba wa Kaskazini Joh Makini akilishambulia Jukwaa Vilivyo

                 Masai wa Kigoma..naye alikuwepo na miondoko yake ya Kimasai masai

                 Twanga Pepeta wakitwanga Jukwaani..kama wanavyoonekana

         Mwana Mazingaombwe Profesa Kalabash naye akifanya mbwembwe zake jukwaani
Hakika sikukuu ya Eid ilikuwa swafi kabisa kwa wakazi wa Dar-es-salaam kwakuwa mbali na Dar Live pia kulikuwa na show nyingi tu Kigambni na sehemu zingine.

MWANA DADA SARA KAISI "SHAA" AJA NA TEASER YA WIMBO WAKE MPYA "SUGUA GAGA "

 

SIKUKU YA EID-WATOTO WAJIRUSHA RUSHA NDANI YA DAR LIVE !


       Juu na Chini Watoto wakionyesha Miondoka yao Kabla ya Show ya Ommy Dimpoz na Joh Makini Usiku.

                                                          Watoto wa Dar utawaweza wewe?





               Kama Desturi yetu Mchana ni Party toto na watoto walifurahia sana.
Kutoka GPL

J.LO..IS SHE ABOUT TO BE OR IS SHE SINGLE AGAIN?

MKURUGENZI WA MISS TANZANIA HASHIM LUNDENGA AMPONGEZA BRIGGITTE..AMWITA SHUJAA !


Brigitte akiwa na Mkurugenzi wa Miss Tanzania Ndugu Hashim Lundenga ,Pamoja na Mama yake
        
Bwana Lundenga aliyasema hayo wakati wa Hafla ya kumpongeza Brigitte kwa kushika nafasi ya # kwenye kipengele cha Miss World cha Urembo wenye malengo maalu.Wawakilishi wote wa Miss World walichuana katika kipengele hicho na Mtanzania huyo ambaye ni Miss Tanzania 2012 alishika nafasi ya pili.
     Lundenga alisema nafasi hiyo niya juu na haijawahi kushikwa na mtanzania yoyote huvyo watanzania wote tujivunie ushindi huo kwani Brigitte aliwashinda warembo wote kutoka nchi zote za dunia walioshiriki nakushika nafasi hiyo yatatu.
    Pia alimpongeza mama yake Brigitte kwakuwa bega kwa bega kumsuport  mwanae nakusema ni mfano wakuigwa.Pia aliitumia nafasi hiyo kuwashukuru Redd's ambao ndio wadhamini wa Miss Tanzania na pia ndio waliodhamini sherehe hiyo.

OMMY DIMPOZ AIPEPERUSHA KWETU FASHION DESIGN BY MISSY TEMEKE !


 Mwanamuziki wa Kizazi Kipya  Ommy Dimpoz akiwa amepozi na Mavazi ya kiume ya Kwetu Fashion Design ya Mbunifu aliyewahi kushinda Taji la Miss Temeke .Mavazi ya Kiume sasa yanapatikana !

BIG SALE!! (NEW ARRIVALS) - PUNGUZO LA BEI LA MZIGO MPYA

Skirts, Tops & Trousers - Tshs 10,000/= Long Dresses 20,000 - Short Dresses 15,000 ; Shoes-Heels 20,000/= Flats 10,000/= ;Blazers (Vikoti) 10,000. Tupo Kijitonyama karibu na Police Mabatini. Call 0774801316, 0715801316, Karibuni sana. Tembelea Page yetu uone nguo zaidihttp://facebook.com/SachquesClothingStore

MICROSOFT HAS INVENTED EARBUDS THAT PICK MUSIC ACCORDING TO YOUR MOOD AND HEALTH

We've heard predictions that our PCs will soon be able to recognize our facial gestures and understand our moods (maybe even better than our spouses can).
Now Microsoft is working on a technology that will let a pair of earbuds monitor your heart rate, temperature and other biorhythms to figure out your health and mood. It's a Microsoft Research project is called Septimu.
Researchers at the University of Virginia Center for Wireless Health have written a smartphone app called Musical Heart for the Septimu earbuds, as spotted by the CyThings blog.
Musical Heart automatically picks music according to your biorhythms. If you are upset and your heart is pounding and your body is tense, it can choose music to calm you down. Or if you are working out and want to keep your heart rate at a particular intensity, it will choose music to motivate you.
Right now these are just research projects, not products you can buy. But one day...
In the meantime, you can use apps like Songza or Stereomood to get playlists of music that match your mood.

OMMY DIMPOZ NA JOH MAKINI KUTINGISHA DAR LIVE LEO !